Usibwete, kuwa mbunifu katika biashara yako
BIASHARA inahitaji ubunifu wa hali ya juu, ili kuweza kupammbana katika soko la ndani na nje ya nchi. Ubunifu unaweza kuupatikana kupitia wa mtu ama kampuni kwa lengo la kupata...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Umuhimu wa kutunza kumbukumbu katika biashara yako
kichwa cha binadamu kina mambo mengi ya kuingia na kutoka kulingana na hali halisi ya maisha ya kila siku. Kwa kuzingatia hali hii, ndiyo maana kuna umuhimu wa kutunza kumbukumbu za biashara ili kuifanya iendeshwe kitaalamu
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-070VQp8Ugoo/VFoCjME7lUI/AAAAAAAABPM/8Dr7QHNPOcU/s72-c/index.jpg)
KAMA WEWE NI MBUNIFU TFF WANA DEAL KWA AJILI YAKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-070VQp8Ugoo/VFoCjME7lUI/AAAAAAAABPM/8Dr7QHNPOcU/s1600/index.jpg)
Inawezekana ukawa una ubunifu wako lakini ukawa unashindwa wapi utaupeleka na kupata pesa halali ya Kitanzania sasa mchongo huu hapa ambao wameutoa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuwakaribisha wabunifu.
Unachotakiwa kufanya ni kubuni mwonekano wa jezi mpya za timu ya Taifa zitakazokuwa zikitumiwa kwa mechi za nyumbani na ugenini na ubunifu ni lazima uzingatie rangi za bendera ya Taifa.
Mkwanja walioutoa kwa Mshindi wa jezi ya nyumbani atapata sh. 1,000,000 (milioni moja), na...
10 years ago
Mwananchi07 Jun
JITAMBUE:Je unajua kuwa una haja ya kujifunza tabia mpya katika maisha yako?
Je unaweza kuandika orodha ya tabia zako zote? Kama unaweza kuziandika zitenge katika makundi mawili. Kundi moja liwe la zile ambazo zinakusaidia na zenye manufaa hata kwa watu wengine na kundi la pili ni zile ambazo hazina maana na hata zinawaudhi watu wengine. Kama utafanya zoezi hili kwa uaminifu huku ukiamini hakuna atakayeiona orodha yako kuna mambo mawili ambayo huenda ukafikiria kuyafanya.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Unajua kuwa sanaa yako inajumuisha maisha yako binafsi?
“Watu waangalie nini nafanya, burudani gani ninawapa lakini maisha yangu hayawahusu.â€
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Kuwa mbunifu ufanikiwe
KATIKA makala za Maisha Yetu niliwahi kuandika kwamba njia pekee ya kufanikiwa ni kutoruhusu mawazo yanayoleta kizuizi, kama vile kuwaza umaskini au wasiwasi kwa kile unachokifanya. Kama wewe ni mtu...
9 years ago
Mwananchi03 Jan
LUCKY SABAS : Kuwa mbunifu wa mitindo ilikuwa ndoto yangu
Safari yake kwenye tasnia ya uanamitindo ilianza rasmi, mwaka 2006, pale aliposhiriki shindano la Miss Utalii Tanzania. Alipambana na kufanikiwa kuingia fainali katika onyesho hilo lililokuwa na mvuto kwa mashabiki wake kipindi cha awali.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5b6j9uMimOM/VYP-7cd7hKI/AAAAAAAHhbY/TGn2o7eeZM8/s72-c/New%2BPicture.png)
Je Biashara Yako Inaitaji Tovuti?
Wafanya biashara wadogo huamini kwamba kua na tovuti ni kitu kinachofanywa na wafanya biashara wakubwa na inaitaja gharama nyingi kutengeneza. Hilo sio kweli. Gharama ya kuwa na website ni ndogo sana ukilinganisha na faida utakazo zipata baada ya kuwa nayo. Faida ya kuwa na tovuti ni pamoja na; Biashara yako kuaminika kitaifa na kimataifa. Biashara zote zilizo halisi na zinazoaminika hua na tovuti. Tovuti yako itasaidia kuhalalisha biashara yako. Kuwa na tovuti pia itakusaidia kujitangaza...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Siri ya kufanikisha biashara yako
Pata somo kutoka kwa mjasiriamali mtanzania ambaye alianzisha kampuni ya kutengeza aiskrimu kuhusu mbinu kumi bora anazotumia katika kuuza kwenye mitandao ya kijamii
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2Z4X4nsaqK2WWKPUQu6DWYe6hXUv-BGN1-dIJWkaJXhh9FIUiA6XUQPYHyDoJ8G0msPTcI3EOlv4neaM2tS7R90/JAMES.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania