USTAA UNA RAHA YAKE WADOGO, UMAARUFU MKUBWA
![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7Js8Je5nlFso2cD6EbjIuI1flpR3CCCtibQmAbZbBHni-O0uuUDhZtJDCWO9Ww3m7likSVmRCHMJComU0EXRpppc/northwestballetbun.jpg?width=650)
North West. WAKATI watu mbalimbali wakihangaika kutafuta umaarufu kwa njia nyingi hadi wengine kufikia hatua ya kujidhalilisha kwa kujinadi nusu utupu, kwa baadhi ya watu hasa watoto wa mastaa ni tofauti sana kwa kile kinachotajwa kama kuzaliwa na bahati kubwa ya kuwa na umaarufu kupitia wazazi wao. Blue Ivy. Baadhi ya watoto hao kinyumbaninyumbani na mamtoni ni kama wafuatao:Blue Ivy Ni mtoto pekee wa mwanamuziki Beyonce na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QzsHbbnRvTs/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Yvonne Nelson; umaarufu unazidisha kasi ya biashara yake
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
Faiza Ally Afunguka Kuhusu Mavazi Yake, Mtoto, Dini, Umaarufu…..
Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally amefunguka mengi kuhusu yeye mwenyewe kwenye kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV usiku wa jana.
Ishu kubwa ilikuwa kuhusu mavazi yake “Napenda kuvaa vitu ninavyovaa, sina mavazi special naweza kuvaa vyovyote, niliipenda idea ya kuvaa nepi (diapers) na sina tatizo nayo kabisa”
Faiza ni mama wa mtoto mmoja wa kike, kwenye upande wa malezi ikoje? “Mimi ni mama mzuri sana, ninamtazama mtoto wangu saa 24… mavazi yangu hayaingiliani kabisa na malezi ya...
10 years ago
CloudsFM24 Jul
Faiza Ally Afunguka Kuhusu Mavazi Yake, Mtoto, Dini, Umaarufu Wake
Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally amefunguka mengi kuhusu yeye mwenyewe kwenye kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV usiku wa jana.
Ishu kubwa ilikuwa kuhusu mavazi yake “Napenda kuvaa vitu ninavyovaa, sina mavazi special naweza kuvaa vyovyote, niliipenda idea ya kuvaa nepi (diapers) na sina tatizo nayo kabisa”
Faiza ni mama wa mtoto mmoja wa kike, kwenye upande wa malezi ikoje? “Mimi ni mama mzuri sana, ninamtazama mtoto wangu saa 24… mavazi yangu hayaingiliani kabisa na malezi ya mtoto...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Huyu ndio mchezaji mkubwa aliyempoteza binamu yake katika shambulio la Paris na mwingine kunusurika kumpoteza dada yake
Kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Na Rabi Hume, wa Modewjiblog
Shambulio limelotokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi katika jiji la Paris, Ufaransa wakati mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Taifa ya Ufaransa na Ujerumani umeacha simanzi kwa kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Katika shambulio hilo ambalo linakadiliwa kuua watu zaidi 150 limepelekea Diarra kumpoteza binamu yake, Asta Diakote ambae alikuwa moja...
10 years ago
Bongo Movies09 Jan
Flora:Kuzaa Kuna Raha Yake!!
Mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Flora Mvungi ‘H-Mama’ ambae ni mama wa mtoto mmoja, amewashinikiza wasanii wenzake wa kike kuzaa mapema huku akiwataka kuingia kwenye hatua ya kuitwa mama na kusema kuzaa kuna raha yake.
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Flora alisema baadhi ya mastaa wamekuwa na dhana potofu kwamba, ukizaa unazeeka na utakuwa hufanyi starehe, jambo ambalo halina ukweli.
“Mimi nawashauri wazae tu, kuzaa kuna raha yake bwana. Unajua starehe haziishi, kikubwa ni wao kuzaa fasta...
9 years ago
Bongo504 Nov
ALikiba: Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo
![king kiba3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/king-kiba3-300x194.jpg)
Alikiba ameweka wazi jinsi anavyozichukulia tuzo kwenye kazi yake ya muziki, na kama zinamuongezea thamani yoyote yeye kama msanii.
Mwimbaji huyo wa ‘Mwana’ ambaye amekuwa haendi kwenye tuzo nyingi zikiwemo hata zile ambazo anaibuka kuwa mshindi, ametaja sababu za kwanini huwa haudhurii.
“Nimegundua kwamba mimi ni mwanamuziki ambaye si focus sana kwenye tuzo japokuwa ndio moja ya sifa” Alikiba ameiambia AYO TV. “lakini kiukweli muziki wangu una thamani kubwa na mimi ni mkubwa zaidi ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s72-c/17.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wi5ui1N9Kjc/U3kRHiAciUI/AAAAAAAChjA/uD6dNZhqm3I/s1600/18.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-L-BOnQTtvXQ/VR8fDcYtZKI/AAAAAAADepI/rCcozJ3OdgM/s72-c/1d6d1cad499e90613581a2c909faa8f0%2B(2).jpg)
"WAKATI MWINGINE USIRI UNA BARAKA ZAIDI.....ALHAMDULILAH' HAYO NDIO MANENO YA DIAMOND KUASHIRIA HARUSI YAKE NA ZARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-L-BOnQTtvXQ/VR8fDcYtZKI/AAAAAAADepI/rCcozJ3OdgM/s1600/1d6d1cad499e90613581a2c909faa8f0%2B(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L-F8Nrsq7p0/VR8fDd-k-7I/AAAAAAADepE/Zom4QcpNOXs/s1600/8e5eaca18e378874944d98b277fef038%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JZTxrkkibHs/VR8fDWbloII/AAAAAAADepM/0NLeuSwpfIg/s1600/fd1918c1ea9148de7504e6bd026a1b5a%2B(2).jpg)