Flora:Kuzaa Kuna Raha Yake!!
Mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Flora Mvungi ‘H-Mama’ ambae ni mama wa mtoto mmoja, amewashinikiza wasanii wenzake wa kike kuzaa mapema huku akiwataka kuingia kwenye hatua ya kuitwa mama na kusema kuzaa kuna raha yake.
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Flora alisema baadhi ya mastaa wamekuwa na dhana potofu kwamba, ukizaa unazeeka na utakuwa hufanyi starehe, jambo ambalo halina ukweli.
“Mimi nawashauri wazae tu, kuzaa kuna raha yake bwana. Unajua starehe haziishi, kikubwa ni wao kuzaa fasta...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLFLORA: KUZAA RAHA JAMANI!
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-GCOZ5xGq6vY/VPLKi9UPXkI/AAAAAAADbAg/XXBFKVdlrOI/s72-c/_MG_4151.jpg)
USWAHILI KUNA RAHA SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GCOZ5xGq6vY/VPLKi9UPXkI/AAAAAAADbAg/XXBFKVdlrOI/s1600/_MG_4151.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzAC0hP813LXfucEkNsJ4djnwUAahXga5m9ot3*7w8WaYWVk2o-bOrr1M-3H2C46wOWBlCO0c-hDw*Q2HPxyQa79/Loves.jpg)
KUNA WANAOISHI KWA RAHA NA VIMADA KULIKO NDANI YA NDOA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7Js8Je5nlFso2cD6EbjIuI1flpR3CCCtibQmAbZbBHni-O0uuUDhZtJDCWO9Ww3m7likSVmRCHMJComU0EXRpppc/northwestballetbun.jpg?width=650)
USTAA UNA RAHA YAKE WADOGO, UMAARUFU MKUBWA
10 years ago
Bongo512 Apr
Wema Sepetu adai hana uwezo wa kuzaa, post yake yawaliza wengi!
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s72-c/ema%2Bmbasha.jpg)
KAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s640/ema%2Bmbasha.jpg)
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa...
11 years ago
CloudsFM![](http://api.ning.com/files/ToQMaI9f*6IZBKM6udfXmS98RL7SPJYlgi7tR*1qgsLFywTPkGncasY0SZoD24pC5Ppv1XNQhVPVSiEgWyTGFJtXIcs-3mwI/florahmbashanamumewe.jpg)
YAWEKWA WAZI, KUMBE ANAYETUHUMIWA KUMBAKA SHEMEJI YAKE NI MUME WA FLORA MBASHA
JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 ambaye ni yatima.
Taarifa za tukio hilo ziliripotiwa Jumatatu saa 12 jioni katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule) na kufunguliwa kesi yenye Kumbukumbu Na. TBT/RB/319/2014 na ya Jalada la Uchunguzi Na.TBT/IR/1865/2014, zikimtuhumu mwanamume huyo kwamba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kXkjqGyOlM4/XoNCUqFvUuI/AAAAAAALlrw/oVsNM8wVXhIgnkOtZ3mzQbubBwsXpCHYQCLcBGAsYHQ/s72-c/daladala-dar-es-salaam.jpg)
DALADALA DAR WAANZA KUBEBA ABIRIA KWA MTINDO WA 'LEVEL SEAT'... WAKAZI WAONJA RAHA NA KARAHA YAKE.
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MAGARI ya usafiri maarufu kwa jina la Daladala leo yameanza kubeba abiri kwa idadi ya viti 'Level Seat' ikiwa ni mkakati wa kupambana na kuenea kwa virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19.
Utaratibu huo umeanza leo Machi 31 mwaka huu wa 2020 na hivyo kwenye vituo mbalimbali vya daladala mamia ya abiria ya wakazi wa Jiji hilo wameonekana wakiwa kituoni kwani daladala nyingi zilikuwa zikifika vituoni yakiwa yameshajaa abiria kutokana na utaratibu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVt*M3ju9C8eazW9mZW3xvaZFcv1K7*BDoZufGsAvqEpnA1BeFyYpBotfYV8TPm4u8boVJfXQ*HyfIMMks9EL96/B11.jpg?width=650)
KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE