Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utamaduni wa kujiuzulu haupo tena

Sina uhakika kama mama yetu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alipata ushauri kutoka kwa mtu yeyote au aliamua yeye mwenyewe kukutana na wanahabari ili kukanusha kuhusika kwake katika kashfa ya Akaunti ya Tegera Escrow.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utamaduni wa viongozi kujiuzulu haupo nchini

Kuna wakati napatwa na butwaa ninapofuatilia taarifa za viongozi wanaojiuzulu katika nchi za wenzetu (sio za bara la Afrika).

 

10 years ago

BBCSwahili

Wavuti wa Pirate Bay haupo tena

Mtandao ambao ulikuwa ukitumiwa kutoa filamu kinyume na sheria ,The Pirate Bay, ilizimwa baada ya msako kufanywa na polisi nchini Sweden.

 

10 years ago

GPL

ABDULRAHMAN KINANA: MUDA WA KULINDANA HAUPO TENA‏

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ali Mtopa akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara  mjini Lindi wakati akimkaribisha Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika uwanja wa michezo wa Ilulu mjini Lindi wakati akihitimisha ziara yake mkoani humo leo kabla ya kuendelea na ziara mkoani Mtwara kesho.… ...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA: MUDA WA KULINDANA HAUPO TENA,AHITMISHA ZIARA YAKE MKOANI LINDI KWA KISHINDO

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini kwenye uwanja wa Ilulu wilaya ya Lindi mjini.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini ambapo aliwaambia CCM inasimamia uwajibikaji na kama mtu amekosea awajibike na akishindwa atawajibishwa mapema.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lindi mjini ambapo aliwaambia wananchi hao CCM ni chama pekee chenye mfumo ulioanzia chini hivyo watu waache...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni

pinda

Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.

pinda 2

Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...

 

9 years ago

Bongo5

Muziki wa Hip Hop haupo kibiashara — Young Dee

Rapper Young Dee amesema muziki wa Hip Hop haupo kibiashara na kwamba wasanii wanaofanya muziki huo wanafanya kwaajili ya passion tu. Akizungumza jana na E-Newz ya EATV, Young Dee alisema kama msanii wa Hip Hop anataka kufanya biashara ni muhimu atoe nyimbo mara kwa mara. “Kwa upande wangu mimi hapa haijakaa kibiashara sana kihivyo,” alisema. […]

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZZ: MKATABA WA YANGA, OKWI HAUPO NA SASA YUPO HURU KUCHEZEA TIMU YOYOTE AITAKAYO

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo (Septemba 7 mwaka huu) na kupitia masuala mbalimbali ikiwemo mgogoro wa kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Emmanuel Okwi (pichani kushoto akipokea jezi baada ya kusajiliwa na Simba). Mkataba huo ulipitiwa na Kamati ikiwemo kumsikiliza mchezaji mwenyewe pamoja na upande wa Yanga, na kuridhika kuwa mkataba kati ya pande hizo umevunjika. Ukiwa ni mkataba wa pande mbili, Yanga ilikiuka...

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.

Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.

Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.

Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana,  tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani