Utawala bora ukizingatiwa, uchumi utakua haraka nchini
Wataalamu wa masuala ya uchumi na siasa wamefanya tafiti mbali mbali zinazoonyesha kuwa nchi haiwezi kuwa na maendeleo bila kuwa na misingi imara ya utawala bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZWFW_eBg-yY/Uz2Tzn2PeQI/AAAAAAAFYOI/NVp21MZ8XJ8/s72-c/unnamed+(33).jpg)
APRM, MKAKATI MARIDHAWA KUDUMISHA UTAWALA BORA NA UCHUMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZWFW_eBg-yY/Uz2Tzn2PeQI/AAAAAAAFYOI/NVp21MZ8XJ8/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ojof0Y5Jvas/Uz2T0ArfwwI/AAAAAAAFYOM/xdwO7kdGSHw/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Uchumi wa Rukwa utakua tukiimarisha sekta ya usafiri
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Dk.Harrisson Mwakyembe atembelea tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini!!
Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe akizungumza na wafanyakazi (hawapo pichani) wa Tume alipofanya ziara katika Ofisi hizo. Wanamsikiliza pembeni yake kwa bashasha (kulia) ni Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mheshimiwa Bahame Nyanduga na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Iddi Mapuri.
Na Mbaraka Kambona,
Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe ameitembelea Tume ya Haki za Binadamu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdiEBUUgaB0/U6m85PF_sSI/AAAAAAAFssM/kqp-8-MfL9k/s72-c/New+Picture.png)
RAIS KIKWETE ATAJA MISINGI MIKUU MITANO YA UTHIBITISHO WA KUSHAMIRI KWA UTAWALA BORA NCHINI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdiEBUUgaB0/U6m85PF_sSI/AAAAAAAFssM/kqp-8-MfL9k/s1600/New+Picture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametaja misingi mikuu mitano ambayo...
11 years ago
Habarileo12 May
Misingi ya utawala bora yaendelea kuwekwa
SERIKALI ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyia kazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini, kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti ya Hali ya Utawala Bora iliyoandaliwa na Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM).
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Utawala bora bado kikwazo serikalini
UTAWALA bora bado umeonekana kuwa ni tatizo katika wizara na taasisi za serikali wakati wa usimamizi wa rasilimali za nchi kwa wazawa na wawekezaji. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam...
9 years ago
MichuziTUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
9 years ago
Habarileo07 Sep
Tume ya Utawala Bora yaonya wanasiasa
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetahadharisha wanasiasa, kuacha mara moja kutumia kauli ambazo zinaweza kuwa chanzo cha kuhatarisha amani ya nchi katika mikutano yao ya kampeni.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10