Uuzaji wa hisa za MTN wapigwa marufuku
Uuzaji na ununuzi wa hisa za kampuni kubwa zaidi barani Afrika ya huduma za simu MTN zimepigwa marufuku baada ya kudorora kwa bei
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Jun
uuzaji wa hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.
10 years ago
GPLUUZAJI HISA BENKI YA WALIMU WAZINDULIWA RASMI
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATANGAZA MATOKEO YA UUZAJI WA HISA STAHILI
9 years ago
StarTV29 Dec
Serikali yapiga marufuku uuzaji matunda yaliyokatwa
Serikali imetoa tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu kuendelea kuwa tishio kwa baadhi ya mikoa nchini tangu ugonjwa huo uliporipotiwa Agosti 15 mwaka huu.
Tahadhari hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alipozungumza Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema kusambaa kwa ugonjwa wa Kipindupindu nchini kunaendelea kwa kasi tangu iliporipotiwa kwa mara ya kwanza mwaka huu Agosti 15,...
9 years ago
StarTV19 Nov
Uuzaji Ardhi Kiholela  Serikali ya Wilaya Kinondoni yapiga marufuku Â
Serikali imepiga marufuku kuuza maeneo katika kata tatu zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kutokana na kukithiri kwa migogoro ya ardhi.
Kata hizo ni Mabwepande, Wazo na Bunju zenye mitaa saba ambayo ni Boko, Mji mpya, Mbopo, Kihonzile, Bunju B, Mabwepande na Nyakasange.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam , Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati alipokutana na viongozi wa kamati ya ardhi kwa lengo la kutoa maazimio yao kuhusu utatuzi wa migogoro ya ardhi ndani ya...
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: Je Kupiga marufuku uuzaji pombe ni suluhisho la kuzuia maambukizi?
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Watakatishaji fedha, marufuku soko la hisa
10 years ago
Habarileo25 Feb
Uvuvi wa kasa wapigwa marufuku
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema ni marufuku kwa wavuvi kuvua samaki aina ya kasa katika eneo la bahari ya Zanzibar ambapo viumbe hao wapo katika hatari ya kutoweka duniani.
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Wabaguzi wa Chelsea wapigwa marufuku