Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM Z’Bar yazungumzia uchaguzi

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewataka vijana Zanzibar kutobabaishwa na kuendelea kwa mjadala au mazungumzo ya viongozi wa kisiasa kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu ambao umefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yazungumzia uchaguzi Burundi

Marekani imesema uchaguzi wa Rais unaofanyika nchini Burundi umekosa uaminifu.

 

9 years ago

Michuzi

ZADIA YAZUNGUMZIA HALI YA KUFUTWA KWA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Logo ya ZadiaJumuiya ya Wazanzibari Waishio Nchini Marekani (ZADIA), imekuwa ikifuatilia kwa karibu na makini zaidi zoezi zima la Uchaguzi Mkuu visiwani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Kwa kiasi kikubwa mchakato wa uchaguzi ulifanyika kwa njia za amani na utulivu. Hata hivyo ZADIA imeshtushwa mno na tamko la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mh. Jecha Salim Jecha la kutangaza kuufuta Uchaguzi Mkuu Zanzibar na matokeo yake.

Ama kwa hakika kitendo hicho hakikuwa cha busara na...

 

9 years ago

Habarileo

UVCCM yataka uchunguzi wa kina uchaguzi uliofutwa

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume huru kuchunguza kwa kina suala la uchaguzi uliofutwa. Kadhalika umetaka tume hiyo ichunguze uendeshwaji wa zabuni ya karatasi za kupigia kura ulivyofanyika hadi kupatikana mzabuni na taarifa yake itolewe kwa umma.

 

9 years ago

Raia Mwema

Uchaguzi Z’bar Februari

UCHAGUZI Mkuu wa Zanzibar unatarajiwa kurudiwa wakati wowote kuanzia mwishoni mwa Februari au mwa

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Habarileo

Uchaguzi Z’bar wafutwa, kurudiwa

TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza kufuta matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumapili iliyopita baada ya kubainika kujitokeza kwa kasoro nyingi, zilizosababisha kukiukwa kwa sheria za uchaguzi na haki kushindwa kutendeka.

 

9 years ago

Mtanzania

Kufutwa uchaguzi Z’bar kaa la moto

awadhNa Mwandishi Wetu, Zanzibar

UAMUZI wa Serikali wa kutoa tamko la kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar umezua maswali kwa wananchi, huku Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (Zanzibar Law Society), Awadh Ali Said, akisema suala hilo ni la aibu kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Amesema hatua ya kushindwa kuainisha vifungu vya Katiba ya Zanzibar kuhusu kufutwa kwa matokeo kwa tamko la mwenyekiti kwa kutaja vifungu vya kisheria visivyohusika ni wazi Serikali imeshikwa pabaya.

Awadh aliyasema hayo...

 

9 years ago

Mtanzania

Uchaguzi Z’bar wajadiliwa Bunge la Uingereza

mtanzaniadaily2 .indd. Mbunge ahoji hatua zinazochukuliwa, Waziri aeleza msimamo wa Serikali yao

 

Na Mwandishi Wetu

HALI ya kisiasa na kufutwa kwa uchaguzi wa urais pamoja na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar hatimaye imetua na kujadiliwa katika Bunge la mabwanyenye la nchini Uingereza.

Uamuzi huo umekuja siku moja baada ya wapinzani wawili wa kisiasa visiwani humo, Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Makamu wake wa Kwanza ambaye pia alikuwa mgombea wa urais kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kuendelea na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti wa UVCCM Singida, asema watoa rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wasichaguliwe

mkt

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida, Martin Lissu akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Uchaguzi wa UVCCM Wilaya ya Singida Mjini juzi, Lissu alikemea vitendo vya rushwa ndani ya CCM.

lissu

Martin Lissu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida.

katibu

Katibu wa UVCCM, Wilaya ya Singida Mjini, Pamfil James akisoma taarifa ya chama kwa wajumbe wa mkutano mkuu huo.

wagombea

Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Singida wakiwa wanasubiri matokeo ya uchaguzi huo.

wajumbe

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Wilaya ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Samia: Tuombee dosari za uchaguzi Z’bar zimalizike

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuliombea taifa amani ili dosari zilizojitokeza Zanzibar zipatiwe ufumbuzi na kupatikana amani na umoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani