Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwanja wa Etihad kupanuliwa zaidi

Madiwani wa Manchester wameidhinisha mradi wa kupanua uwanja wa Etihad ili iwe na uwezo wa kuchukua mashambiki 62,000

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UWANJA WA NDEGE MTWARA KUIMARISHWA ZAIDI

 Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara kwa ajili ya kujionea maendeleo ya uwanja huo.  Mmoja wa viongozi wa Timu Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (aliyevaa fulana nyeusi) akihoji uimara wa sehemu ya kutulia ndege wakati walipofanya ziara ya kujionea maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Mtwara.  Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara, Mhandisi Mugasa...

 

11 years ago

Habarileo

Mtambo Ruvu Juu kupanuliwa

SERIKALI imeanza kupanua mtambo wa maji wa Ruvu Juu ili kuongeza uzalishaji maji kutoka lita milioni 82 hadi milioni 196 kwa siku, imeelezwa. Pia imeelezwa kuwa ukosefu wa malighafi, umesababisha matengenezo ya mtambo huo uliopo Mlandizi Wilaya ya Kibaha, kuchelewa.

 

9 years ago

Global Publishers

KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1

Kaimu Mkurugenzi wa KADCO ,Bakari Murusuri |(Katikati) kushoto kwake ni mkurugenzi wa shughuli mama za kiwanja na huduma KADCO,Christopher  Mukoma na kulia kwake ni Meneja usalama wa Kiwanja, Justine Kisusi walipokutana na wanahabari . Kaimu mkurug4e3nzi wa KADCO ,Bakari Murusuri akizung4umza na wanahabari (hawako pichani ) kuhusu matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika uwanja huo. Uwanja wa ndege wa kimataifa wa  Kilimanjaro (KIA) Eneo la ndani la uwanja wa ndege wa KIA.
Na Dixon...

 

11 years ago

Habarileo

Kituo kilichosababisha daladala kugoma kupanuliwa

BAADA ya Kamati ya Usafirishaji ya Jiji la Mwanza kutembelea kituo cha daladala cha Buzuruga kinachodaiwa kuwa chanzo cha mgomo wa huduma ya usafiri juzi jijini hapa, Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroad ) Mkoa wa Mwanza umeridhia kufanya upanuzi wa kituo hicho.

 

10 years ago

Vijimambo

MIUNDOMBINU YA BANDARI YA KIGOMA KUBORESHWA NA KUPANULIWA

Mkuu wa Bandari ya Kigoma, Bw. Athuman Malibamba (Kulia) akimkaribisha Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kushoto) mara alipofika kujionea maendeleo ya bandari hiyo.Sehemu ya chelezo zinazotumika kwa ajili ya matengenezo ya meli na boti katika Bandari ya Kigoma.Mkuu wa Bandari ya Kigoma, Bw. Athuman Malibamba (Katikati mbele) akifafanua jambo kwa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha afya Chanika kupanuliwa

KITUO cha afya cha Chanika jijini Dar es Salaam kinatarajiwa kuwa hospitali kubwa Tanzania yenye kutoa huduma za afya ya mama na mtoto baada ya kukamilika kwa upanuzi wa ujenzi wake unaogharamiwa na Serikali ya watu wa Korea ya Kusini.

 

9 years ago

Michuzi

KADCO YAOKOA ZAIDI YA BILIONI 2 UWANJA WA NDEGE WA KIA NDANI YA WIKI MOJA.

Kaimu Mkurugenzi wa KADCO ,Bakari Murusuri |(Katikati) kushoto kwake ni mkurugenzi wa shughuli mama za kiwanja na huduma KADCO,Christopher Mukoma na kulia kwake ni Meneja usalama wa Kiwanja, Justine Kisusi walipokutana na wanahabari . Kaimu mkurug4e3nzi wa KADCO ,Bakari Murusuri akizung4umza na wanahabari (hawako pichani ) kuhusu matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika uwanja huo. Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Eneo la ndani la uwanja wa ndege wa...

 

11 years ago

Michuzi

HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA

 Katika hali isiyokuwa ya kawaida,Mashabiki wa timu ya Simba wameanza tena kung'oa viti vya kukalia uwanjani hapa na kuwatupia Mashabini wenzao wa Timu ya Yanga waliofurika kwa wingi uwanjani hapa,kwa kile kinachodaiwa kuwa hawataki kukaa nao sehemu moja.lakini kwa hali ilivyo hivi sasa Uwanjani hapa,ni dhahiri kabisa kuwa Mashabiki hao wa Yanga wanaweza kuujaza Uwanja huu hasa kwa jinsi wanavyozidi kuingia Uwanjani hapa.Uongozi wa Vilabu hivi viwili vikubwa hapa nchini unatakiwa kukaa...

 

10 years ago

Michuzi

WAPENDA SOKA ZAIDI YA ELFU MOJA WASHINDWA KUANGALIA MECHI YA AZAM NA EL MELEKH YA SUDAN KWENYE UWANJA WA CHAMAZI LEO

Hali ya kustaajabisha imejitokeza jioni ya leo katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi,kwa washabiki na wadau wa soka zaidi ya elfu moja (1000) kushindwa kuingia uwanjani wakati wa mtanange uliozikutanisha timu za Azam Fc ya Tanzania na El Merreikh ya Sudan ikiwa ni mchezo wa awali wa michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Hali hiyo imekuja baada ya watu hao waliokuwa na tiketi zao mkononi kuambiwa uwanja umejaa,hivyo hakuna sehemu ya kuwaweka.
Taarifa za chini ya kapeti zinaeleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani