MIUNDOMBINU YA BANDARI YA KIGOMA KUBORESHWA NA KUPANULIWA
Mkuu wa Bandari ya Kigoma, Bw. Athuman Malibamba (Kulia) akimkaribisha Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kushoto) mara alipofika kujionea maendeleo ya bandari hiyo.
Sehemu ya chelezo zinazotumika kwa ajili ya matengenezo ya meli na boti katika Bandari ya Kigoma.
Mkuu wa Bandari ya Kigoma, Bw. Athuman Malibamba (Katikati mbele) akifafanua jambo kwa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Miundombinu Ustawi wa Jamii kuboreshwa
SERIKALI imeahidi kulitafutia ufumbuzi tatizo la miundombinu linaloikabili Taasisi ya Ustawi wa Jamii ili kukabiliana na ongezeko kubwa la wanafunzi kila mwaka katika Taasisi hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki katika...
10 years ago
MichuziBANDARI YA KASANGA MKOANI RUKWA KUANZA KUBORESHWA
Serikali imeazimia kuanza kuiboresha bandari ya kimkakati ya Kasanga inayohudumia nchi za Burundi, Rwanda na Kongo iliyopo katika Ziwa Tanganyika, mkoani Rukwa.
Ahadi hiyo imetolewa na Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati walipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya miundombinu katika Bandari ya Kasanga.
Bibi Mwanri alisema kuwa serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania imepanga...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7CdsQHTv-AA/VZkQFKm7nkI/AAAAAAAHnDk/UOAAJGa4P20/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Benki ya Dunia Kanda ya Afrika yaridhishwa na maboresho ya miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-7CdsQHTv-AA/VZkQFKm7nkI/AAAAAAAHnDk/UOAAJGa4P20/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Lowassa aahidi bandari ya kisasa Kigoma
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
11 years ago
Habarileo24 May
Mtambo Ruvu Juu kupanuliwa
SERIKALI imeanza kupanua mtambo wa maji wa Ruvu Juu ili kuongeza uzalishaji maji kutoka lita milioni 82 hadi milioni 196 kwa siku, imeelezwa. Pia imeelezwa kuwa ukosefu wa malighafi, umesababisha matengenezo ya mtambo huo uliopo Mlandizi Wilaya ya Kibaha, kuchelewa.
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Uwanja wa Etihad kupanuliwa zaidi
10 years ago
Habarileo12 Dec
Kituo cha afya Chanika kupanuliwa
KITUO cha afya cha Chanika jijini Dar es Salaam kinatarajiwa kuwa hospitali kubwa Tanzania yenye kutoa huduma za afya ya mama na mtoto baada ya kukamilika kwa upanuzi wa ujenzi wake unaogharamiwa na Serikali ya watu wa Korea ya Kusini.
11 years ago
Habarileo18 Feb
Kituo kilichosababisha daladala kugoma kupanuliwa
BAADA ya Kamati ya Usafirishaji ya Jiji la Mwanza kutembelea kituo cha daladala cha Buzuruga kinachodaiwa kuwa chanzo cha mgomo wa huduma ya usafiri juzi jijini hapa, Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroad ) Mkoa wa Mwanza umeridhia kufanya upanuzi wa kituo hicho.