uzazi tanzania unakabiliwa na changamoto chekwa kila uchao
Unaingia katika wodi ya wazazi katika hospitali ya wilaya, unaziona sura za wanawake walio katika uchungu wa kujifungua zikiwa shakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Tanzania na fursa chekwa katika teknolojia ya habari
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
10 years ago
Habarileo31 Oct
Changamoto zinazokwamisha uzazi salama kudhibitiwa
KAMATI ya Afya ya Uendeshaji ya Wilaya ya Nkasi imeahidi kufanyia kazi changamoto zinazokabili vituo kadhaa vya afya na kukwamisha ufanisi katika utoaji wa huduma za dharura wakati wa kujifungua.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4YYlR7lfFCA/U_8Adug_VwI/AAAAAAAGKGg/LV5ZZDeqbyc/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yCBQJiftaFE/U_8AdQ3BcyI/AAAAAAAGKGo/WqvCumkTrok/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Oman na fursa chekwa za uwekezaji kwa Watanzania
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Wanaume wa Tanzania na uzazi salama
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P2HxPQXvcQ4/VAWiSlonlUI/AAAAAAAGbNg/YZpAkiBrEVs/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Lady Jaydee aungana na Marie Stopes Tanzania kwenye kampeni ya uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2HxPQXvcQ4/VAWiSlonlUI/AAAAAAAGbNg/YZpAkiBrEVs/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi uzazi mikoa ya minne
Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.
Na Nathaniel Limu, Singida
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14 milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na...