Wanawake na Changamoto za Uzazi
Wanawake wanapaswa kuchukua hatua mara tu wagunduapo Wajawazito
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Oct
Changamoto zinazokwamisha uzazi salama kudhibitiwa
KAMATI ya Afya ya Uendeshaji ya Wilaya ya Nkasi imeahidi kufanyia kazi changamoto zinazokabili vituo kadhaa vya afya na kukwamisha ufanisi katika utoaji wa huduma za dharura wakati wa kujifungua.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4YYlR7lfFCA/U_8Adug_VwI/AAAAAAAGKGg/LV5ZZDeqbyc/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yCBQJiftaFE/U_8AdQ3BcyI/AAAAAAAGKGo/WqvCumkTrok/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Nov
uzazi tanzania unakabiliwa na changamoto chekwa kila uchao
Unaingia katika wodi ya wazazi katika hospitali ya wilaya, unaziona sura za wanawake walio katika uchungu wa kujifungua zikiwa shakani.
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Facebook kuwahifadhia wanawake mayai ya uzazi
Wafanyakazi wa kike wa Facebook na Apple wanapewa nafasi ya kugandisha mayai yao ya uzazi kwa njia ya maabara ili wafanye kazi mwazo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09Vs8gGUr-LONbx3EudPm*lfORnH7NGC4WcHRVwfkVX-aybr0z*cQC4ZQmtSRVfH04LS7jd04FOU6Fqj4Uixdadf/huundiomtiwamlonge.jpg?width=650)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-3
WIKI iliyopita tuliishia kwenye dalili za tatizo linaloitwa Pelvic Inflammatory Diseases (PID), leo tutajikumbusha dalili hiyo na tutaendelea na upande mwingine. DALILI ZA PELVIC INFRAMATORY DISEASES (PID)
Dalili ya kwanza ilikua ni hali ya kupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi ambayo kitaalamu inaitwa Dysmenorrheal, tulisema kwamba maumivu haya makali wakati wa hedhi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wanaume ni vizingiti kwa wanawake katika uzazi wa mpango
Baadhi ya wanawake wanaamini kwamba wakitumia njia za kisasa wanaweza kuharibu maumbile yao ya mwili ya asilia pamoja na kupata ulemavu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3KEw8-pYFlGcWS7qwOK0nzLkFDcIoqo*x4QQJG9MpBoQ5ILgeuzGImlvgjleiBAL6*2GdJ3Haim-B*SNzttPPWM/Fallopian_Tube.png)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-2
WIKI iliyopita tulizungumzia wanawake wanaokumbwa na tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi na tukawasihi kwamba wanaweza kutumia mti wa mlonge ili kutatua tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi, lakini kwa ufupi tu wangepata kujua ni jinsi gani wanaweza kukumbwa na tatizo kama hili: VYANZO
Vyanzo vya tatizo la kuvimba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni kama vile:
Kukumbwa na bakteria mbalimbali sehemu za siri, lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pl2AfYSHdf2nuKbMUysiwpYhB62X-lXpOljKog7MLoeGD*mFvlOnEeogFs9jJQ0RvjVnpmXNm-UuxnGKxUqEjU46idkrNwDn/mimba3.jpg?width=650)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE
Dk. Frank Ndiyanka
+255 713 112112 | +255 753 644644
LEO tutazungumzia mmea uitwao mlonge ambao ni moja ya mmea tiba unaotumika zaidi kumtibia mwanadamu.
Mmea huu katika pande zake zote hutumika zaidi katika matibabu, nikimaanisha kuanzia kwenye mizizi, magome, majani, pamoja na maua yake.
Mmea huu unaweza kumsaidia mwanadamu katika kutatua matatizo mbalimbali katika mwili wake na leo tutaanza na upande wa mwanamke...
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Upandikizaji wa mifuko ya uzazi kwa wanawake wenye ugumba
Ugumba ni tatizo la kifamilia linaloweza kusababisha manyanyaso kwa wanawake wengi katika ndoa. Tatizo hili pia linaweza kusababisha kuvunjika kwa ndoa na hata wakati mwingine mwanamume kuoa mwanamke mwingine au kupata nyumba ndogo ili apate kuzaa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania