Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


"UZIMA ULIAZIMWA TUNZA NI HAZINA"

TIMU YA NesiWangu IKISHIRIKIANA NA AFRICAN AMERICAN HEALTH PROGRAM INAWAKARIBISHA NYOTE KATIKA UCHUNGUZI WA AFYA YA MOYO Tarehe 7/2/2015 Saa 3:00 asubuhi hadi 7:00 mchanaSilver Spring 1 Veterans Place( Civic Center) Parking ni bure katika garage siku ya Jumamosi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

THAMINI KURA YAKO, TUNZA KADI UCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika leo kwa manufaa ya nchi yangu ninayoipenda.Watanzania wote tuliojiandikisha tunatarajia kupiga kura Oktoba 25, mwaka huu. Kura ni kitendo cha kumchagua kiongozi ambaye wewe binafsi unaona atafaa kuongoza jamii katika ngazi fulani. Kitendo hicho hufanyika mara moja baada ya muda fulani kufuatana na jinsi mlivyojipangia wenyewe kisheria. Hapa kwetu huwa kila...

 

10 years ago

Vijimambo

Mh. Lowassa azindua helkopta ya kanisa la ufufuo na uzima

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono waumini Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima,Kawe jijini Dar es Salaam leo.Picha zote na Othman Michuzi.Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwasili kwenye viwanja vya kawe lilipo Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima leo.Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwa kwenye kwenye...

 

10 years ago

GPL

MH. LOWASSA AZINDUA HELKOPTA YA KANISA LA UFUNUO NA UZIMA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono waumini Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima, Kawe jijini Dar es Salaam jana.…

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nakaaya Ft. Dunga — Utu Uzima Dawa

Wimbo mpya wa Nakaya unaitwa “Utu Uzima Dawa” amemshirikisha Dunga Producer Lamar Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: NAKAAYA - UTU UZIMA DAWA ft. DUNGA (Download)


"Its a song expressing my freedom from the chains that held me back as a woman and an individual. Its a song reminding me of my mothers advice.It does not matter how many times or how hard you fall. Its how you get yourself back up. I am now a proud single mom, happy and thankful to have and to raise my soldier alone. In truth utu uzima dawa. You live and you learn."- Nakaaya


Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain...

 

10 years ago

Michuzi

Lowassa azindua helkopta ya kanisa la ufufuo na uzima, Askofu Gwajima ataka apewe eneo la Tanganyika Parkers

Joseph Zablon, Kawe Dar es Salaam. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ameahidi kumsaidiana kwa maombi na njia zingine, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ili aweze kulipata eneo la Tanganyika Pakers analolitumia kwa mahubiri ili ajenge kanisa kwa ajili ya waumini wake. Kauli ya Lowassa imefuatia ombi la askofu huyo wakati wa uzinduzi wa helkopta ya kanisa hilo ambayo ameahidi kuitumia kwa ajili ya kusaidia majanga yanapotokea na pia kusambaza neno la Mungu ambako alidai...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mo blog inamtakia pole ya uzima Blogger na Mwandishi Mkuu wa Mbeya Yetu Joseph Mwaisango aliyelazwa kwa matibabu

17301_1021665087861001_2972075610347608120_nMwandishi Mkuu wa Mbeya Yetu, blogger  Joseph Mwaisango akiwa yupo kitandani Hospitali ya Rufaa Mbeya ambaapo amelazwa tokea jana akisumbuliwa na tatizo la tumbo.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Mtandao wa Modewji blog unamtakia uzima na unafuu Mwandishi Mkuu wa Mbeya Yetu Blog, Joseph Mwaisango ambaye jana Aprili 4, alilazwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya, kutokana na maradhi ya tumbo yanayomsumbua.

10447391_865297826831062_4485329918231226680_n

Modewji blog na wadau wetu wengine munaendelea kuperuzi nasi kila siku,  tuna kila...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana wetu, hazina yetu

Mabadiliko ni kitu kisichoepukika katika maisha ya wanadamu. Maendeleo ya nchi na watu huzuka kwa nchi kukubali kubadilika na mabadiliko.

 

11 years ago

Habarileo

Msajili Hazina abana mashirika

MASHIRIKA, taasisi na asasi zote za umma, zimeagizwa kuhakikisha zinajisajili na kuingia mikataba ya utendaji na Msajili wa Hazina. Lengo la hatua hiyo ni kupima utendaji wake ili ziweze kuchangia asilimia 10 ya pato lake katika Mfuko wa Hazina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani