Msajili Hazina abana mashirika
MASHIRIKA, taasisi na asasi zote za umma, zimeagizwa kuhakikisha zinajisajili na kuingia mikataba ya utendaji na Msajili wa Hazina. Lengo la hatua hiyo ni kupima utendaji wake ili ziweze kuchangia asilimia 10 ya pato lake katika Mfuko wa Hazina.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Rais Kikwete amteua Lawrence Mafuru kuwa Msajili wa Hazina
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Lawrence Nyasebwa Mafuru (pichani)kuwa Msajili wa Hazina kuanzia tarehe 5 Novemba, 2014.
Taarifa iliyotolewa leo Desemba 11, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa kabla ya uteuzi wake, Bwana Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Rasilimali Fedha katika Ofisi ya Rais inayohusika na ufuatiliaji Miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (PDB). Aidha Bwana Mafuru pia alikuwa Kaimu Mtendaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V2X2xiauStc/XuuGs6cqP5I/AAAAAAALuf8/5Dz8inb1pGwoPB51aYizMm8G2xIyRo2CgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01.jpg)
Msajili Wa Hazina Akutana Na Kamishna wa Maadili Kujadili Namna ya Kuimarisha Ushirikiano Baina ya Ofisi Hizo
![](https://1.bp.blogspot.com/-V2X2xiauStc/XuuGs6cqP5I/AAAAAAALuf8/5Dz8inb1pGwoPB51aYizMm8G2xIyRo2CgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01.jpg)
Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka akifafanua jambo wakati wa kikao cha pamoja na Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela , kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya ofisi hizo. Kikao hicho kilifanyika jana Juni 18, 2020 katika Ofisi za Msajili wa Hazina, Jijini Dar es...
5 years ago
Michuzi13 Feb
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wameelezea kufurahishwa na ufanisi wa utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Msajili wa Hazina
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-1-10.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-2-8.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Aug
Magufuli abana wenye magari Kigamboni
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amewataka wamiliki wa magari yanayovushwa na kivuko kati ya Magogoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam, kufikiria uwezekano wa kuzunguka upande wa Kongowe hadi Mbagala na kuingia katikati ya Jiji, lengo likiwa kupunguza msongamano.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s72-c/Jaji%2B01.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EkxufIMWNX4/VijBs3iGt0I/AAAAAAAIBqo/-ihlVx9E3vE/s640/Jaji%2B01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hp5y7Ax4H2M/VijBsx0Uw9I/AAAAAAAIBqs/quvXx-_wz_k/s640/Jaji%2B02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8UuQ1zi50rQ/VijBuAVR5LI/AAAAAAAIBq8/wGIIg9LOEC0/s640/Jaji%2B05.jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Feb
"UZIMA ULIAZIMWA TUNZA NI HAZINA"
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Stakabadhi za Nyamwasa hazina kasoro
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Wakongwe tunakufa na hazina kubwa -2
10 years ago
Mwananchi05 Dec
‘Bidhaa nchini hazina ubora’