Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vifo vya bomu Nigeria vyafikia 118

Maafisa nchini Nigeria wamesema kuwa wamepata maiti 118 kufuatia shambulio la bomu katika mji wa Jos.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Vifo lori la petroli vyafikia vitano

IDADI ya vifo vya watu vilivyotokana na ajali ya moto wa lori lililopinduka na kisha kulipuka baada ya watu kulivamia kwa lengo la kujipatia mafuta, vimeongezeka na kufikia vitano kutoka vitatu vya awali. Hayo yamethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatima ya mahujaji 35 bado haijajulikana, vifo vyafikia nane

Idadi ya Watanzania waliofariki kwa ajali ya kukanyagana wakati wa hija katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia imeongezeka na kufikia watu nane huku wengine 35 wakiripotiwa kutoonekana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Shambulio Afghanistan: Vifo katika chumba cha kujifungua kina mama vyafikia 24

Idadi ya waliouawa katika shambulio lililotekelezwa na wanamgambo dhidi ya chumba cha kujifungua kina mama nchini Afghanistan imeongezeka na kufikia 24.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni nini kinasababisha vifo visivyoelezeka katika jimbo la Kano Nigeria

Rais wa Nigeria ameonesha wasiwasi wake juu ya idadi ya vifo inayoongezeka katika jimbo la Kaskazini la Kano, huku kukiwa na wasiwasi kwamba vifo hivyo huenda vinatokana na ugonjwa wa Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wasababisha vifo-Somalia

Watu 6 wameuawa baada ya bomu kulipuka karibu na uwanja wa kimataifa a ndege mjini Mogadishu

 

9 years ago

Habarileo

Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba

JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10

Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Nigeria anusurika bomu

Bomu moja limelipuka kazkazini mwa Nigeria nje ya uwanja mmoja wa soka ambapo rais Goodluck Johnathan alikuwa amehutubia mkutano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani