Vilio vya unafiki msibani
Msiba au ‘msibani’ ni mahali na ‘kifo’ kimetokea au mahali na pameamuliwa pawe ni ‘makazi’ maalumu ya kukusanyika wanandugu, majirani, marafiki na waombolezaji kwa ajili ya kushughulikia, kujadiliana na kufanya maandalizi ya mazishi ya ‘marehemu-mhusika’. Ni mahali palipozingirwa na majonzi, hofu, utata na msononeko wa kila hali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLVILIO VYATAWALA VIFO VYA PADRI WANAFUNZI SITA
11 years ago
Michuzi16 May
KINANA AMALIZA ZIARA SIKONGE KWA KUHUZUNISHWA NA VILIO VYA DHULMA WANAZOFANYIWA WAKULIMA WA TUMBAKU
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Snura:Sitaki Unafiki
MWIGIZAJI wa filamu na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amesema kuwa anakerwa sana na unafiki unaofanywa na baadhi ya wasanii kwa kushirikiana na wapenzi wa kazi zao kwa kufanya kampeni za kuangushana katika medani za kimataifa.
“Naepukana na unafiki tena naweza kusema roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yantumia muda mwingi kuwadisi wengine, mfano hivi sasa wakati Diamond anagombea Tuzo kimataifa eti kuna watu wanaungana na watu...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Mrema: Kura ya siri ni unafiki
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Uongo, unafiki na uzandiki wa CCM
INASIKITISHA kuona kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamekuwa mstari wa mbele kuwadanganya wananchi kwamba uendeshaji wa serikali tatu ni ghali kuliko serikali mbili,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Unafiki wa wanasiasa ni tatizo jingine nchini
MWANZONI mwa miaka ya sitini aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa letu, hayati Mwalimu Julius Nyerere, alitaja mambo matatu kuwa ni adui wa maendeleo. Aliwataja maadui...
11 years ago
GPLWEMA AMLIPUA KAJALA, KISA UNAFIKI!
10 years ago
Bongo Movies03 Apr
Wema Akataa Unafiki, Ampongeza Diamond
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu amefunguka kwa mara ya kwanza na kusema kuwa hata yeye anampa pongezi mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa jitihada alizozifanya mpaka kufikia hatua ya kumaliza nyumba yake iliyopo Madale jijini Dar.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa, Wema alisema kuwa hata kama hawako pamoja lakini kama kuna kitu cha kumsifia kwa jambo zuri alilofanya hana sababu ya kukaa kimya na akinyamaza atakuwa mnafiki.
“Nikikaa kimya bila ya kumpongeza Chibu...
10 years ago
GPLWEMA AKATAA UNAFIKI, AMPONGEZA CHIBU