Viongozi 175 waliotuhumiwa kwa ufisadi watajwa
Jumla ya viongozi wakuu serikalini 175 wametajwa katika bunge la Kenya orodha iliyotolewa na rais Uhuru Kenyatta iliposomwa hadharani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Mar
UFISADI KENYATTA AWASIMAMISHA KAZI 175
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/02/150102220926_kenya_president_uhuru_kenyatta_640x360_ap.jpg)
mamlakani katika siku 60 zijazo iliuchunguzi wa kina ufanyike kuhusu madai ya ufisadi dhidi yao.
Hayo yalibainika katika ripoti iliyotolewa bungeni na rais Uhuru Kenyatta katika kikao maalum cha bunge la taifa kilichowajumuisha wabunge na maseneta.Rais Kenyatta aliwataka maafisa...
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi 175
11 years ago
Habarileo10 Feb
UDA yajiimarisha kwa kuzindua mabasi mapya 175
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limezindua mabasi mapya 175, katika mchakato wake wa uboreshaji wa shirika hilo lililofikisha miezi mitano tangu kufufuliwa upya.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Buhari awaonya viongozi dhidi ya ufisadi
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
UFISADI NA UTEGEMEZI: Kilio cha viongozi wapumbavu
NI ukweli usio na shaka kwamba, Tanzania ni nchi inayotegemea wahisani, wafadhili, na wale wanaoitwa wabia wa maendeleo. Kwa jinsi hiyo, na kwa namna ya utegemezi; Tanzania inategemea usaidizi wa...
10 years ago
Habarileo26 Dec
Malasusa ahimiza viongozi nchini kuacha ufisadi
UFISADI uliokithiri umeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na woga wa viongozi kwa kushindwa kuwachukulia hatua stahiki watuhumiwa wa matukio ya ufisadi nchini.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TBTtHJXa-xQ/VaBsK2GlGTI/AAAAAAAATIA/54nL_gbOBvo/s72-c/10406768_847430768637571_4306938687360913185_n.jpg)
WALIOTUHUMIWA MAMLUKI CHADEMA WAVULIWA UONGOZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TBTtHJXa-xQ/VaBsK2GlGTI/AAAAAAAATIA/54nL_gbOBvo/s640/10406768_847430768637571_4306938687360913185_n.jpg)
Na Bryceson Mathias, Kilosa.NGUVU ya Umma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Ruaha, Jimbo la Mikumi, Wilaya ya Kilosa, Morogoro, wamewavua Uongozi waliokuwa Viongozi wao na kuweka Kamati ya Muda (Task Force), kwa madai ya kuwa Mamluki ndani ya Chama chao.
Waliovuliwa Uongozi na kubaki na Uanachama ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kata, George Banda, Katibu, Ally Mponda, Katibu Mwenezi, William Temu, Mweka Hazina, Aurelia Mnunga, na Mjumbe wa Kamati Tendaji, Mwalimu...
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
40 watajwa kwa rushwa Sierra Leone
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5rK5-C555OqUXexlzB9lPBD0ICdb2inulkvh7FiKdTTwV92zOslqREKAsAo*DtDLVkw0detKI7w4wape*XkIpZ/bukuku.jpg)
AJALI, VIFO KWA WAIMBA INJILI UCHAWI WATAJWA