Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi 175 waliotuhumiwa kwa ufisadi watajwa

Jumla ya viongozi wakuu serikalini 175 wametajwa katika bunge la Kenya orodha iliyotolewa na rais Uhuru Kenyatta iliposomwa hadharani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UFISADI KENYATTA AWASIMAMISHA KAZI 175

Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi maafisa wakuu serikalini 175 kufuatia tuhuma za ufisadi dhi yaoMawaziri 5, makatibu 6 wa kudumu na Magavana 10 wametajwa miongoni mwa maafisa 175 wa umma watakaolazimika kunga'atuka
mamlakani katika siku 60 zijazo iliuchunguzi wa kina ufanyike kuhusu madai ya ufisadi dhidi yao.
Hayo yalibainika katika ripoti iliyotolewa bungeni na rais Uhuru Kenyatta katika kikao maalum cha bunge la taifa kilichowajumuisha wabunge na maseneta.Rais Kenyatta aliwataka maafisa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi 175

Rais Uhuru Kenyatta amewasimamisha kazi viongozi wakuu serikalini 175 kufuatia madai ya ufisadi dhidi yao.

 

11 years ago

Habarileo

UDA yajiimarisha kwa kuzindua mabasi mapya 175

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limezindua mabasi mapya 175, katika mchakato wake wa uboreshaji wa shirika hilo lililofikisha miezi mitano tangu kufufuliwa upya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari awaonya viongozi dhidi ya ufisadi

Rais mpya nchini Nigeria Muhammadu Buhari amewaambia magavana kuwa siku za matumizi mabaya ya fedha zimekwsha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UFISADI NA UTEGEMEZI: Kilio cha viongozi wapumbavu

NI ukweli usio na shaka kwamba, Tanzania ni nchi inayotegemea wahisani, wafadhili, na wale wanaoitwa wabia wa maendeleo. Kwa jinsi hiyo, na kwa namna ya utegemezi; Tanzania inategemea usaidizi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Malasusa ahimiza viongozi nchini kuacha ufisadi

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa UFISADI uliokithiri umeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na woga wa viongozi kwa kushindwa kuwachukulia hatua stahiki watuhumiwa wa matukio ya ufisadi nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

WALIOTUHUMIWA MAMLUKI CHADEMA WAVULIWA UONGOZI.


Na Bryceson Mathias, Kilosa.NGUVU ya Umma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Ruaha, Jimbo la Mikumi, Wilaya ya Kilosa, Morogoro, wamewavua Uongozi waliokuwa Viongozi wao na kuweka Kamati ya Muda (Task Force), kwa madai ya kuwa Mamluki ndani ya Chama chao.
Waliovuliwa Uongozi na kubaki na Uanachama ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kata, George Banda, Katibu, Ally Mponda, Katibu Mwenezi, William Temu, Mweka Hazina, Aurelia Mnunga, na Mjumbe wa Kamati Tendaji, Mwalimu...

 

10 years ago

BBCSwahili

40 watajwa kwa rushwa Sierra Leone

Maafisa wandamizi wa Sierra Leone wameuhumiwa kutafuna mamilioni ya fedha za kupambana na Ebola

 

11 years ago

GPL

AJALI, VIFO KWA WAIMBA INJILI UCHAWI WATAJWA

Gladness Mallya na Chande Abdallah
KUTOKANA na ajali na vifo kwa muziki wa Injili vilivyotokea hivi karibuni, imedaiwa kuwa baadhi vimetokana na uchawi.Baada ya kuzagaa kwa habari hizo, mapaparazi wetu walimtafuta Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba ambapo alikiri kuwa kweli uchawi upo na unahusika. Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba. “Kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo, hili la uchawi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani