UFISADI NA UTEGEMEZI: Kilio cha viongozi wapumbavu
NI ukweli usio na shaka kwamba, Tanzania ni nchi inayotegemea wahisani, wafadhili, na wale wanaoitwa wabia wa maendeleo. Kwa jinsi hiyo, na kwa namna ya utegemezi; Tanzania inategemea usaidizi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Apr
Sumaye: Viongozi Afrika acheni utegemezi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa Afrika, kuacha tabia ya kutegemea nchi tajiri, kugharimia mipango ya maendeleo zao. Badala yake, ametaka viongozi wawe wabunifu wa kuandaa mipango ya kuondoka kwenye utegemezi uliokithiri.
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Buhari awaonya viongozi dhidi ya ufisadi
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Viongozi 175 waliotuhumiwa kwa ufisadi watajwa
10 years ago
Habarileo26 Dec
Malasusa ahimiza viongozi nchini kuacha ufisadi
UFISADI uliokithiri umeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na woga wa viongozi kwa kushindwa kuwachukulia hatua stahiki watuhumiwa wa matukio ya ufisadi nchini.
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Mkapa: Wapumbavu… malofa
Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, alipopata wasaa wa kuhutubia maelfu ya wanachama wa CCM waliokuwa uwanjani hapo, alirusha kijembe kwa wapinzani na kusema wanaosema wanatafuta ukombozi ni wapumbavu na malofa.
“Kuna vyama vinajifanya vinataka kuleta ukombozi, ukombozi uliletwa na ASP na Tanu, hao wanaojiita vyama vya ukombozi ni wapumbavu, … ni malofa, nchi hii ilikwisha kombolewa na sasa inaendelea kuiomboa kwa kupambana ana umasikini, ujinga na maradhi na ndo kazi imekuwa ikifanywa na...
10 years ago
Vijimambo14 Dec
KILIO CHA ALBINOS TANZANIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/10/141210091106_albino_tz_0_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Mtobi Namigambo, ni mvuvi anayeuza samaki, amekaa kwa utulivi nje ya nyumba yake ya matope katika kisiwa cha ukerewa mahali ambapo zamani palikuwa makao ya albino lakini kwa sasa si hivyo. Mtoto wake wa miaka nne May Mosi ameketi kwenye paja lake akionyesha umarufu wake wa hisabati kwa kuhesabau moja hadi kumi kwa ujasiri.
Mara kwa mara Mtobi anamtazama mke wake, Sabina, ambaye ameketi kwa mkeka kando yake...
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Kilio cha Albino Tanzania