VIONGOZI WAPYA WA TAHLISO WAAPISHWA RASMI,WAUNGANA NA KASI YA MAGUFULI
Mwenyikiti mpya wa shirikisho la wanafunzi wa elimu ya juu nchini Tanzania TAHLISO Ndugu STANSLAUS PETER akila kiapo kulitumikia shirikisho hilo mbele ya mwanasheria HAMZA JABIRI leo Jijini Dar es salaam kuanza kazi rasmi ya kuwatumikia wanafunzi wa elimu ya juu nchini Tanzania
Na Exaud Mtei (msaka habari) wa Habari24 blog
Uongozi mpya wa shirikisho la elimu ya vyuo vikuu nchini Tanzania TAHLISO umesema kuwa upo tayari kumuunga mkono Rais wa Tanzania Dr John pombe magufuli kwa kasi aliyoanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
TAHLISO yapata viongozi wapya
JUMUIA ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), imepata uongozi mpya. Katika uchaguzi huo Musa Mudede, Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Bugando cha...
10 years ago
GPL24 Jan
10 years ago
MichuziMAKAMISHNA WA POLISI WAPYA WAAPISHWA
10 years ago
MichuziWABUNGE WAPYA WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA
11 years ago
MichuziJUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Viongozi wa kisiasa waonywa kuitumia TAHLISO
MWENYEKITI mstaafu wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Amon Chakushemeire, amesema jumuiya hiyo inaendeshwa kitaaluma na si kisiasa. Chakushemeire aliyasema hayo juzi jijini Dar es Salaam...
10 years ago
GPLVIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA WAAPISHWA DAR
9 years ago
Habarileo12 Dec
Tahliso wamkubali Magufuli
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (Tahliso) wamepongeza hatua ya Serikali ya Rais John Magufuli kuongeza idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 34,128 mwaka jana hadi kufikia wanafunzi 53,032 mwaka huu.
10 years ago
Habarileo27 Oct
UKAWA waungana rasmi
VYAMA vinne vya upinzani nchini vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), jana vilitiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano, ikiwamo kusimamisha mgombea katika chaguzi zote, kuanzia wa serikali za mitaa mwaka huu na ule wa wabunge, madiwani na rais mwaka kesho.