UKAWA waungana rasmi
VYAMA vinne vya upinzani nchini vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), jana vilitiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano, ikiwamo kusimamisha mgombea katika chaguzi zote, kuanzia wa serikali za mitaa mwaka huu na ule wa wabunge, madiwani na rais mwaka kesho.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVIONGOZI WAPYA WA TAHLISO WAAPISHWA RASMI,WAUNGANA NA KASI YA MAGUFULI
Na Exaud Mtei (msaka habari) wa Habari24 blog
Uongozi mpya wa shirikisho la elimu ya vyuo vikuu nchini Tanzania TAHLISO umesema kuwa upo tayari kumuunga mkono Rais wa Tanzania Dr John pombe magufuli kwa kasi aliyoanza...
10 years ago
MichuziLOWASSA AJIUNGA RASMI NA UKAWA,AKABIDHIWA KADI RASMI YA UANACHAMA CHADEMA.
9 years ago
GPLMGAWANYO RASMI WA MAJIMBO YA UKAWA
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Ukawa wasaini rasmi makubaliano
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Kimbau atua rasmi Ukawa
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omari Kimbau, ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF).
Akizungumza Dar es Salaam jana, Kimbau alisema ameamua kujiunga na CUF baada ya kuchoshwa na ubakaji wa demokrasia ndani ya CCM.
Kimbau ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Mafia, Kanali Shomari Kimbau, alisema haki ya wananchi wa Mafia imetekwa na watu wachache wenye fedha.
“Mimi na familia yangu, rafiki zangu tumeamua...
10 years ago
GPLLOWASSA SASA RASMI UKAWA
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa atangaza rasmi kujiunga na Ukawa
9 years ago
VijimamboNCCR-MAGEUZI LEO IMEJIONDOA RASMI "UKAWA"
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-MAGEUZI, Reticia Ghati Mosore akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari katika Hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam muda huu kuhusiana na ukiukwaji wa taratibu katika umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kutangaza kuendelea na mapambano nje ya umoja huo wa vyama pinzani. Katibu Mkuu wa NCCR-MAGEUZI, Mosena Nyambabe akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatima yao ya kupambana kama wenyewe NCCR-MAGEUZI bila ya UKAWA na kuwa chama cha Demokrasia...
10 years ago
GPLUKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI, WAONDOKA MJINI DODOMA