Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vipodozi 274 vina viambata hatari

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Juma NkamiaJUMLA ya vipodozi 274 ambavyo viliombewa usajili, havisajiliwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kwa kuwa na viambata vilivyopigwa marufuku, imefahamika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vipodozi hatari vyaligharimu taifa

MKURUGENZI wa Uendeshaji Huduma kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Dk. Sikubwambo Ngendabanka, amesema matumizi ya vipodozi vyenye kemikali ni janga la kitaifa linaloisababishia serikali hasara ya mabilioni fedha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yakamata tani 34 za vipodozi hatari

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imesema katika kaguzi za mwaka 2012 hadi 2013  wamekamata jumla ya tani 34 za vipodozi visivyofaa vyenye thamani ya sh milioni 188. Ofisa Habari...

 

9 years ago

IPPmedia

274 Vwawa residents arrested over burning down of office


274 Vwawa residents arrested over burning down of office
IPPmedia
At least 274 people have been arrested for creating chaos in Vwawa, Mbozi and Rungwe constituencies. The residents were pressing for the immediate release of election results after the Sunday polls. Mbeya Regional Police Commander, Ahamed Msangi ...

 

10 years ago

Bongo5

Wezi waiba gauni la Lupita Nyong’o alilovaa kwenye tuzo za Oscars 2015 lenye thamani ya shilingi milioni 274

Gauni la muigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o lenye thamani ya $150,000 (zaidi ya shilingi milioni 274) la Calvin Klein alilolivaa kwenye tuzo za Oscars wiki iliyopita limeibiwa, polisi wamesema jana. Gauni hilo lililotengenezwa maalum kwaajili yake lilikuwa limezungushiwa vigolori 6,000 vya rangi nyeupe. Liliibiwa kwenye chumba chake cha London Hotel iliyopo West Hollywood mchana, amesema […]

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

10 years ago

Michuzi

VYOMBO YA HABARI VINA UWEZO WA KUZUIA AU KUWA CHANZO CHA MACHAFUKO.

Na Mwandishi Maalum, New York  Imeelezwa kuwa waandishi wa habari pamoja na vyombo wanavyofanyia kazi wana nafasi kubwa ya ama kuchochea uibukaji wa machafuko katika nchi zao au kuyazuia kwa kutumia kalamu zao. Hayo yameelezwa siku ya Alhamis hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wakati wa hafla ya uzinduzi wa mfumo mpya wa uchambuzi unaolenga kutathmini viashiria hatarishi vya uhalifu, mauaji ya kimbari ,uhalifu dhidi ya binadamu na uhalifu wa kivita Hafla ya uzinduzi ...

 

10 years ago

GPL

NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2

NI wiki nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana katika safu hii ambapo tunaendelea na mada hii ambayo tuliianza wiki iliyopita, songa nayo ujifunze mengi. MSIFIE PALE ANAPOPENDEZA
Hakuna kitu kizuri kama kumwambia mpenzi wako ‘umependeza’ pale anapokuwa amependeza. Kauli hiyo itamfanya ajione thamani yake. Itamfanya ajue kwamba ili uweze kumwambia amependeza, anatakiwa avae mavazi ya aina gani. Asikwambie mtu,...

 

10 years ago

GPL

NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI

NI Jumamosi nyingine mpenzi msomaji wa Love Story tunakutana katika uwanja wetu wa kuzungumza masuala mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano.Niwashukuru wote ambao mnaendelea kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kuonesha mnanufaika na kile ambacho tunakijadili hapa kila Jumamosi. Mada ya leo hapo juu inajieleza. Kwenye maisha ya uhusiano wengi wetu tunafanya makosa kwa wapenzi wetu pasipo kujua kama tunawakosea.Binadamu tulivyoumbwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani