Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita vya Iraq:Bush na Clinton walaumiana

Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha Demokrat Hillary Clinton amemshtumu mpinzani wake kutoka chama cha Republican Jebb Bush kuhusu ni nani aliyesababisha msukosuko nchini Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18

Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vikali vyaendelea nchini Iraq

Mapigano yanaendelea katika mji uliopo kazkazini magharibi wa Tal Afar nchini Iraq

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke wa shoka aliyeripoti vita Iraq, Congo

Unaweza kumuelezea Valerie Msoka kwa maneno mafupi kuwa ni “mwanamke wa shoka”.

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) mjini Dallas,Marekani

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete walitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) na kujionea nafasi kubwa iliyotolewa kwa Tanzania na zawadi ambazo Rais Bush alizipata katika ziara yake rasmi ya Tanzania wakati akiwa Rais wa Marekani. Maktaba hiyo ya kuvutia inaendeshwa kwa teknolojia ya kisasa kabisa ya habari na mawasiliano.
Rais Kikwete alikuwa amesimama mjini Dallas kwa muda akiwa njiani kutoka Washington D.C., kwenda Houston, jimbo hilo hilo la...

 

11 years ago

TheCitizen

Man hides in ‘a bush’? No; in ‘the bush’

In the January 19 edition of the Sunday tabloid that’s close to this columnist, there’s a photo on Page 3, whose caption reads: “Geita Primary School teacher … opens a toilet door which has been damaged by a recent downpour. Pupils answer to the call of nature in A NEARBY BUSH.”

 

9 years ago

Global Publishers

Hii ndiyo Kambi ya Jeshi la Uingereza  kwenye Vita vya Kwanza vya Dunia

WW1 (1) WW1 (2) WW1 (3) WW1 (4) WW1 (5) WW1 (6) WW1 (7) WW1 (8) WW1 (9) WW1 (10) WW1 (11) WW1 (12) WW1 (13) WW1 (14) WW1 (15) WW1 (16) WW1 (17) WW1 (18) WW1 (19) WW1 (20)Ufaransa

Mashimo ya kupenya ndani kwa ndani chini ya ardhi yamevumbuliwa kwenye machimbo ya chokaa Kaskazini mwa Ufarasa na yanasadikika kuwa wanajeshi wa Uingereza waliishi humo wakati wa mapigano ya Vita vya Kwanza vya Dunia (WW1) vilivyofanyika kati ya waka 1914 hadi 1918.

Ndani ya mashimo hayo kumekutwa miamba migumu ambayo imeandikwa majina ya wapiganaji wa WW1 waliokufa na kuzikwa mule. Pia kuna makanisa ambamo waliabudu, mabaki ya gari na baiskeli za zamani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Karne baada Vita vya Kwanza vya Dunia

Bara la Ulaya linaadhimisha mauaji ya mtoto wa mfalme ambayo yalichochea Vita vya Kwanza vya Dunia kuzuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan inajutia vita vya pili vya dunia

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe, ameeleza kusikitishwa kwake na mateso na kujitolea kwa watu wengi wakati wa vita vya pili vya dunia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10

Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani