Viwavijeshi wavamia mashamba Kilindi
WADUDU waharibifu wa mazao aina ya Viwavijeshi vimevamia mashamba ya wakulima wa vijiji mbalimbali vilivyopo Kata nane za wilaya ya Kilindi, mkoani Tanga na kuharibu mahindi. Wakizungumza na Tanzania Daima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Mar
Viwavijeshi kushambulia Kanda za Mashariki, Kaskazini
WAKULIMA wametakiwa kuchukua hadhari mapema, kutokana na kutabiriwa kuwepo kwa milipuko ya viwavijeshi vinavyoathiri mazao. Taarifa za utabiri za mwenendo wa milipuko ya viwavijeshi katika msimu wa kilimo 2013/2014, zinaashiria kuwepo kwa milipuko mikubwa hasa katika Kanda ya Mashariki na Kaskazini.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wizara yatoa mitego kudhibiti viwavijeshi
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa mitego 120 itakayosambazwa katika maeneo mbalimbali nchini ili kusaidia kufuatilia mwenendo wa milipuko ya viwavijeshi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...
5 years ago
MichuziKITUO CHA UTAFITI WA KILIMO-SAT WATOA MBINU YA KUKABILIANA NA VIWAVIJESHI KWA KUTUMIA MIMEA
Meneja wa Kituo cha Utafiti wa kilimo ambacho kinamilikiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) Frank Marwa akielezea hatua nne za ukuaji wa viwavijeshi ambaye ni moja ya wadudu waharibifu wa mazao shambani.
Frank Marwa ambaye ni Meneja wa Kituo cha utafiti wa kilimo akiwa ameshika jani la mpapai ambalo nalo hutumika kuua wadudu wa haribifu wa...
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Kilindi yaagizwa kukomesha migogoro
Na Amina Omari, Kilindi
SERIKALI mkoani Tanga imeliagiza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi ya wilaya, kuhakikisha wanakomesha migogoro baina ya wakulima na wafugaji ambayo imechangia kuwepo kwa vitendo vya uvunjifu wa amani.
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Magalula Said Magalua wakati wa hafla ya kumsimika kiongozi mkuu wa wafugaji, Lweigwanani iliyofanyika katika Kijiji cha Elerai kilichopo Kata ya Kibrashi wilayani humo.
Alisema endapo viongozi hao...
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Simu yawa mkombozi wa wajawazito Kilindi
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kilindi kurejesha ardhi kwa wananchi
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilindi, Mkoa wa Tanga, imekusudia kuirejesha katika serikali za vijiji ardhi iliyochukuliwa kinyume na sheria, ili iweze kugawiwa kwa wananchi wasio na maeneo. Pia halmashauri hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Viongozi Kilindi mbaroni wakidaiwa kushawishi mapigano
MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Kibirashi, wilayani Kilindi, Yussuph Mwegango na viongozi wenzake wanne wa ngazi ya vitongoji, vijiji, kata na tarafa wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kushawishi...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Utapiamlo; tatizo sugu linalotesa wengi Kilindi
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-spLjDbC7NSg/VCK7kqhTyxI/AAAAAAAARLc/aWzl_mkM-9s/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA KATIKA WILAYA YA KILINDI MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-spLjDbC7NSg/VCK7kqhTyxI/AAAAAAAARLc/aWzl_mkM-9s/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IV2qKhhqwIw/VCK-CoidquI/AAAAAAAARMI/grZlN1AbzL0/s1600/2.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwaslimia wakazi wa Kwediboma wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zS5-sCE-plI/VCK-j8wqSlI/AAAAAAAARMY/R6_tVjsOBXY/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eJSFURIiPa8/VCK-0Zfy4yI/AAAAAAAARMg/i8BQ7WP6A4M/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kutandaza mawe kwenye msingi wa kituo cha afya Kwediboma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qedmuAHCSFQ/VCK_m-P_AmI/AAAAAAAARMw/FfhDcoln_tM/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman...