Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu zamkaribisha Magufuli Tarime

Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Magufuli akaribishwa kwa vurugu Tarime

Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.

 

10 years ago

Habarileo

Tarime chereko urais wa Magufuli

WAKAZI wa wilaya Tarime mkoani Mara wamepongeza ushindi wa aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli kwa ushindi mkubwa huku wakiahidi kumpa ushirikiano katika kuwaletea wananchi maendeleo.

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA

  Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jonh Pombe Magaufuli akinani sera zake Nyamongo mkoani Mara.…

 

9 years ago

Mtanzania

Waziri wa Magufuli anusuru vurugu

Pg 1Jonas Mushi na Veronica Romwald, Dar es Salaam

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye  jana alinusuru kuvunjika kwa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO), baada ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuupinga.

Mdahalo huo ulilenga kujadili hotuba ya Rais Dk. John Magufuli aliyosoma bungeni Novemba 20, mwaka huu wakati akizindua Bunge la 11.

Dosari hiyo ilijitokeza mapema kabla ya Nape kuwasili katika ukumbi wa Nkurumah baadaya Rais wa...

 

5 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI:UCHAGUZI MKUU UTAKUWA HURU NA HAKI KWA VYAMA VYOTE, WANAOPANGA KULETA VURUGU SERIKALI IKO MACHO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVRAIS Dkt. John Magufuli amesema kuwa Uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanyika Oktoba mwaka huu utakuwa huru na haki kwa vyama vyote huku akitahadharisha wale wote watakaoleta vurugu na kauli za matusi watambue Serikali ipo macho na haitovumilia.
Akizungumza leo Juni 16,2020 jijini Dodoma wakati akifunga Bunge la 11, Rais Magufuli amesema kuwa uchaguzi huo utakua wa huru na haki kwa kuwa ndio Demokrasia huku akivitaka vyama kutoa nafasi za kugombea kwa wanawake,...

 

11 years ago

Daily News

Tarime 'has no firefighters, equipment'


Tarime 'has no firefighters, equipment'
Daily News
THE entire District of Tarime, Mara Region, has no firefighters who can immediately attend to fire outbreaks. Instead, the firefighting team is found in Musoma, the capital of the Lake Zone Region. “At the moment, fire fighters and all vehicles are in Musoma but ...

 

10 years ago

Daily News

Former Tarime MP switches allegiance


Former Tarime MP switches allegiance
Daily News
FORMER Member of Parliament for Tarime Constituency, Mr Charles Mwera has defected to Alliance for Change and Transparency (ACT). The ACT Chairman in Tarime District, Mr Paschal Maswi, confirmed the reports to 'Sunday News' yesterday. “Mr Mwera ...

 

11 years ago

GPL

MDUNGUAJI TARIME...AFA

Stori: Na Igenga Mtatiro, Tarime
MDUNGUAJI wa watu takriban tisa wilaya ya Tarime mkoa wa mara, alifariki dunia usiku wa kuamkia juzi alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Tarime baada ya kuzidiwa na vipigo vya Jeshi la Polisi, akigoma kutaja washirika wake. Taarifa zilizotolewa na mganga mfawidhi wa Hospitali hiyo Roberty Onesmo zilisema muuaji huyo, Charles Range Kichune (38) alifariki dunia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani