Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri wa Magufuli anusuru vurugu

Pg 1Jonas Mushi na Veronica Romwald, Dar es Salaam

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye  jana alinusuru kuvunjika kwa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO), baada ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuupinga.

Mdahalo huo ulilenga kujadili hotuba ya Rais Dk. John Magufuli aliyosoma bungeni Novemba 20, mwaka huu wakati akizindua Bunge la 11.

Dosari hiyo ilijitokeza mapema kabla ya Nape kuwasili katika ukumbi wa Nkurumah baadaya Rais wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

RC Arusha anusuru mikutano ya Lema

Hatimaye Jeshi la Polisi wilayani Arusha limeruhusu mikutano ya hadhara ya Mbunge wa Arusha (Chadema), Godbless Lema baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo kuingilia kati.

 

9 years ago

Mwananchi

Vurugu zamkaribisha Magufuli Tarime

Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli akaribishwa kwa vurugu Tarime

Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri kufuta makanisa yanayoendekeza vurugu

Mathias ChikaweWAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema yeye mwenyewe atayafuta makanisa yote yanayoleta vurugu na uvunjifu wa amani kwa kuwa hayatoi taswira ya kile wanachopaswa kufanya na ni aibu kwa Mungu wanayemtumikia.

 

10 years ago

GPL

VURUGU ZA AFRIKA KUSINI, WAZIRI MEMBE ATOA TAMKO

Na Denis Mtima / GPL WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (pichani) ametoa tamko kuhusiana na Watanzania waliopo nchini Afrika Kusini. Waziri Membe amesema Watanzania 21 watarejeshwa nchini kutokana na vurugu zinazoendelea za wenyeji kuwashambulia wageni huko Afrika Kusini. Aidha, Membe ameongeza kuwa Watanzania watatu wamefariki kwa maradhi lakini si kuuawa katika vurugu hizo, hivyo hakuna mtu...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WAKUPAMBANA NA VURUGU NA UGAIDI, WASHINGTON MAREKANI

Rais wa Marekani, Barack Obama akitoa hotuba yake katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani uliofanyika katika Ukumbi wa Loy Henderson, Wizara ya Mambo ya Nje, jijini Washington DC nchini humo leo. Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wanaoshughulika na masuala ya usalama kutoka mataifa mbalimbali duniani, Maafisa Waandamizi wa Umoja wa Mataifa (UN), Vyama vya Kiraia na Sekta Binafsi ulijadili masuala mbalimbali ya jinsi ya kupambana na ugaidi pamoja na vurugu...

 

5 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI:UCHAGUZI MKUU UTAKUWA HURU NA HAKI KWA VYAMA VYOTE, WANAOPANGA KULETA VURUGU SERIKALI IKO MACHO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVRAIS Dkt. John Magufuli amesema kuwa Uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanyika Oktoba mwaka huu utakuwa huru na haki kwa vyama vyote huku akitahadharisha wale wote watakaoleta vurugu na kauli za matusi watambue Serikali ipo macho na haitovumilia.
Akizungumza leo Juni 16,2020 jijini Dodoma wakati akifunga Bunge la 11, Rais Magufuli amesema kuwa uchaguzi huo utakua wa huru na haki kwa kuwa ndio Demokrasia huku akivitaka vyama kutoa nafasi za kugombea kwa wanawake,...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mkoani Geita, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao. Wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato Mkoani Geita wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao wakiimba wimbo maalum wa Shule hiyo katika Mahafali ya 10 shuleni hapo.

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mheshimiwa Dkt....

 

9 years ago

Mtanzania

Waziri amchefua Magufuli

g4*Aomba Watanzania wamtetee kwa uamuzi atakaochukua

 

Na Bakari Kimwanga, Muleba

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameahidi kushughulika na mmoja wa mawaziri aliyegawa ranchi za mifugo kiholela.

Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika miji ya Muleba na Kamachumu mkoani Kagera.

Alisema hawezi kukubali kuona wananchi wanaendelea kuteseka wakati watu fulani wanamiliki ranchi hizo, huku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani