Magufuli akaribishwa kwa vurugu Tarime
Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Vurugu zamkaribisha Magufuli Tarime
5 years ago
MichuziDKT.MAGUFULI:UCHAGUZI MKUU UTAKUWA HURU NA HAKI KWA VYAMA VYOTE, WANAOPANGA KULETA VURUGU SERIKALI IKO MACHO
Akizungumza leo Juni 16,2020 jijini Dodoma wakati akifunga Bunge la 11, Rais Magufuli amesema kuwa uchaguzi huo utakua wa huru na haki kwa kuwa ndio Demokrasia huku akivitaka vyama kutoa nafasi za kugombea kwa wanawake,...
9 years ago
Habarileo30 Oct
Tarime chereko urais wa Magufuli
WAKAZI wa wilaya Tarime mkoani Mara wamepongeza ushindi wa aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli kwa ushindi mkubwa huku wakiahidi kumpa ushirikiano katika kuwaletea wananchi maendeleo.
9 years ago
GPLMAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA
9 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziMBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKARIBISHWA RASMI NA WAZEE WA KIJIJINI MSOGA KWA SHEREHE ZA JADI
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Waziri wa Magufuli anusuru vurugu
Jonas Mushi na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye jana alinusuru kuvunjika kwa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO), baada ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuupinga.
Mdahalo huo ulilenga kujadili hotuba ya Rais Dk. John Magufuli aliyosoma bungeni Novemba 20, mwaka huu wakati akizindua Bunge la 11.
Dosari hiyo ilijitokeza mapema kabla ya Nape kuwasili katika ukumbi wa Nkurumah baadaya Rais wa...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Watu 10 wahojiwa kwa mauaji Tarime
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA