Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama Uturuki vyalalamikia ajali mgodini

Vyama vya wafanyakazi nchini Uturuki vimeitisha mgomo kufuatia ajali mbaya zaidi ya mgodini kuwahi kutokea nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maafa mgodini nchini Uturuki

Hitilafu ya umeme imesababisha maafa mgodini nchini Uturuki

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Maafa mgodini


NA WILIUM PAUL, MOSHI
WATU wawili wamefariki dunia papo hapo, baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya Longoma, yaliyoko Kilema Kusini, Moshi mkoani Kilimanjaro.
Tukio hili linakuja wakati wananchi mkoani Kilimanjaro wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza ndugu zao saba waliofukiwa mwishoni mwa mwaka jana, katika maporomoko kwenye machimbo ya Pumwani, mwishoni mwa mwaka jana.
Tukio hili lilitokea juzi, saa nane mchana baada ya vijana wawili, Adrian Blessing na Shukuru Temu, wenye umri kati ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Watano wafia mgodini

Wakati ombwe ya wachimbaji wa machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga walikoishi siku 41 kabla ya kuokolewa halijafutika, wachimbaji wadogo watano wamekufa kwa kufukiwa na kifusi katika machimbo ya Mgusu yaliyopo Kijiji cha Mgusu wilayani Geita linalomilikiwa na Kampuni ya Dhahabu ya Geita (GGM)

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa mgodini

WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...

 

9 years ago

Mwananchi

Aliyeokolewa mgodini, amuulizia Lowassa

Mmoja wa watu waliokuwa wamefunikwa na kifusi chini ya ardhi kwa siku 41, juzi jioni alizinduka na muda mfupi baadaye akaulizia kama aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa ameshinda Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri awashukia watendaji mgodini

Waziri wa Nishati ya Madini, George Simbachawene amewataka wawakilishi wa Serikali kwenye Mgodi wa Tanzanite One kutekeleza wajibu wa kulinda masilahi ya Taifa.

 

9 years ago

Habarileo

Waliofukiwa mgodini Chunya waopolewa

KAZI ya kutafuta miili ya wachimbaji wadogo waliokuwa wamefukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu mwishoni mwa wiki katika Kata ya Sagambi wilayani hapa, katika mkoa wa Mbeya imesitishwa rasmi baada ya kupatikana kwa mwili wa mchimbaji mwingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani