Waandishi Ethiopia Mahakamani leo
Kesi inayowakabili waandishi wa habari na wanablogu 10, waliokamatwa nchini Ethiopia inaanza kusikilizwa leo, jijini Addis Ababa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Waandishi Ethiopia waachiliwa huru
Waandishi 3 Ethiopia na wanablogu waliokuwa wakizuiwa gerezani kwa tuhuma za kigaidi wameachiliwa huru
11 years ago
Michuzi13 Feb
NEWS ALERT:MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA AWEKWA CHINI YA ULINZI KWA KUDAIWA KUPIGA PICHA MAHAKAMANI.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Picha na Francis Godwin-Iringa.
9 years ago
Habarileo28 Nov
Kili Stars, Ethiopia leo
TIMU ya Kilimanjaro Stars leo inashuka dimbani kucheza na wenyeji Ethiopia katika mchezo utakaofanyika Awassa. Tayari timu hiyo imefuzu kucheza robo fainali, lakini ushindi kwao ni muhimu ili kumaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa mchezo hata mmoja.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Julius Malema mahakamani leo
Julius Malema wa chama cha Economic Freedom Front nchini A-Kusini atafika mbele ya Mahakama kuu ya Polokwane kujibu mashitaka
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Kubenea apandishwa Mahakamani leo
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mwanamke wa heroini mahakamani leo
Mwanamke aliyekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam juzi, kwa tuhuma za kumeza za dawa za kulevya, amemaliza kutoa kete hizo kwa njia ya haja kubwa.
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo kuhusu madai ya uhalifu wa kivita yanayomkabili.
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Masha afikishwa mahakamani Kisutu leo
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha leo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kukamatwa jana jioni.
11 years ago
CloudsFM17 Jul
KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania