Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandishi Ethiopia Mahakamani leo

Kesi inayowakabili waandishi wa habari na wanablogu 10, waliokamatwa nchini Ethiopia inaanza kusikilizwa leo, jijini Addis Ababa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waandishi Ethiopia waachiliwa huru

Waandishi 3 Ethiopia na wanablogu waliokuwa wakizuiwa gerezani kwa tuhuma za kigaidi wameachiliwa huru

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT:MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA AWEKWA CHINI YA ULINZI KWA KUDAIWA KUPIGA PICHA MAHAKAMANI.

Polisi  wamemakamata  mwenyekiti wa chama cha  waandishi wa habari  mkoa  wa Iringa (IPC) Frank Leonard (kushoto)  wakimtuhumu kupiga  picha mahakamani. Hadi  sasa amewekwa  chini ya ulinzi wa polisi huku kesi ya mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi ikiendelea kusomwa.  
Picha na Francis Godwin-Iringa.

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars, Ethiopia leo

TIMU ya Kilimanjaro Stars leo inashuka dimbani kucheza na wenyeji Ethiopia katika mchezo utakaofanyika Awassa. Tayari timu hiyo imefuzu kucheza robo fainali, lakini ushindi kwao ni muhimu ili kumaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa mchezo hata mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Julius Malema mahakamani leo

Julius Malema wa chama cha Economic Freedom Front nchini A-Kusini atafika mbele ya Mahakama kuu ya Polokwane kujibu mashitaka

 

9 years ago

Global Publishers

Kubenea apandishwa Mahakamani leo

said1Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea.

Baada ya taflani iliyotokea jana Jumatatu kati ya mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea wa Chadema na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda eneo la viwanda (EPZA) Mabibo jijini Dar hali iliyopelekea DC Makonda kuwaamuru polisi wamuweke chini ya ulinzi Saed Kubenea na kumpeleka Kituo cha Polisi. Leo Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamke wa heroini mahakamani leo

Mwanamke aliyekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam juzi, kwa tuhuma za kumeza za dawa za kulevya, amemaliza kutoa kete hizo kwa njia ya haja kubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo kuhusu madai ya uhalifu wa kivita yanayomkabili.

 

9 years ago

Mwananchi

Masha afikishwa mahakamani Kisutu leo

Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha leo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kukamatwa jana jioni.

 

11 years ago

CloudsFM

KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI

Mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Frola Mbasha,Mr.Emanuel Mbasha leo amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka mawili yanayo mkabili ya ubakaji. Katika kesi hiyo inayoendeshwa na Hakimu Wilbert Luago,amelazimika kuhairisha kesi hiyo kwa muda wa nusu saa kwa hoja aliyoitoa Mbasha kwamba ana wakili wa kumtetea lakini alishindwa kufika kutokana na matatizo ya usafiri.
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani