‘Waasi’ sasa tishio kwa wananchi Tabata
Wakazi wa Tabata na viunga vyake, sasa wanaishi kwa wasiwasi mkubwa kutokana na kuibuka kwa kundi la vijana, wanaojiita Waasi wakitumia silaha za jadi, kujeruhi watu na kupora mali nyakati za usiku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Typhoid isiyotibika sasa ni tishio
10 years ago
GPLMAUAJI YA POLISI SASA TISHIO
10 years ago
Vijimambo06 Oct
WANANCHI WAASI, WAWASHAMBULIA WATENDAJI, VIONGOZI
Takribani wiki moja baada ya Ikulu kukana Rais Jakaya Kikwete, kuagiza watumishi wa serikali kuchangishwa fedha na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) na watumishi wengine wa serikali kupinga walimu kukatwa mishahara kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari nchini, baadhi ya wananchi mkoani Singida wameasi na kuwashambulia na kuwajeruhi viongozi wa serikali waliokuwa wakitekeleza mpango huo.
Wananchi hao wanadaiwa kuwashambulia na kuwajeruhi...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Tishio la EBOLA, wananchi wakae chonjo
Pichani ni baadhi ya Daktari wakiwa wamembeba mgonjwa wa EBOLA picha kwa hisani ya Mtandao.
Na Hannah Mayige, wa Chuo Kikuu Huria, OUT
TISHIO la ugonjwa wa Ebola unaoendelea kuuwa mamia ya watu Afrika Magharibi, umezua wasiwasi mkubwa kwa nchi za Afrika na dunia nzima kwa ujumla na kutakiwa watanzania kuchukua tahadhari kubwa kudhibiti ugonjwa huo usiingie nchini.
Lazima Serikali na wananchi wazingatie masharti na tahadhari inayotolewa kimataifa kuudhibiti ugonjwa na utayari...
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA MISS TABATA NDANI YA DA' WEST TABATA USIKU HUU
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?
11 years ago
GPLKINACHOENDELEA MSIBANI KWA MZEE SMALL, TABATA
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Sasa ni vita ya serikali na wananchi
TANGU kuzaliwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania mwaka 1992 hali ya kisiasa imekuwa ya mvurugano. Watawala ambao ni CCM wamekuwa wakilinda nafasi yao ili isichukuliwe na wapinzani wao....
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Tchetche, 3-5-2 tishio kwa Yanga