Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Typhoid isiyotibika sasa ni tishio

Shirika la Afya Duniani (WHO), linaripoti kuwa kila mwaka watu 222,000 wanakufa kati ya 21 milioni wanaugua ugonjwa ya homa ya matumbo maarufu kwa jina la kitaalamu, typhoid.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAUAJI YA POLISI SASA TISHIO

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa HALI ni tete! Matukio ya mauaji ya askari polisi sasa ni tishio. Hilo limebainika kufuatia Mkuu wa Kikosi cha Kupambana na Majambazi Mkoa wa Morogoro, ASP Elibariki Israel Palangyo (53) kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wenye harufu ya ugaidi, Uwazi limechimba.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1hv1WxB ...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Waasi’ sasa tishio kwa wananchi Tabata

Wakazi wa Tabata na viunga vyake, sasa wanaishi kwa wasiwasi mkubwa kutokana na kuibuka kwa kundi la vijana, wanaojiita Waasi wakitumia silaha za jadi, kujeruhi watu na kupora mali nyakati za usiku.

 

11 years ago

Michuzi

CULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.

Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD! 

Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu

Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.

 

"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke  nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA tishio

HARAKATI za kujiimarisha za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) sasa zinatarajiwa kuhamia kwenye Bunge la Bajeti litakaloanza vikao vyake Mei 6, mwaka huu. UKAWA kesho wanatarajia kufanya mkutano mkubwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado ni Tishio

wakati ugonjwa wa Ebola ukiwa hauna tiba wala chanjo,wadau wa afya wamwagiana lawama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio

Shirika la Afya Duniani limesema ugonjwa wa Ebola hautaweza kudhibitiwa kikamilifu katika kipindi cha mwaka mmoja unaokuja.

 

11 years ago

Habarileo

Vibaka tishio Sumbawanga

WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga mkoani hapa waishio maeneo ya Majengo walilitaka Jeshi la Polisi kufanya doria za mara kwa mara za usiku ili kukabiliana na visa vya kihalifu vilivyokithiri sasa katika maeneo hayo. Wengi waliohojiwa na mwandishi wa habari hizi kwa masharti ya majina yao kutoandikwa gazetini, wamekiri kuongezeka kwa visa vya kihalifu katika maeneo hayo nyakati za usiku vikiwemo ukabaji , ubakaji na uvunjaji wa nyumba.

 

10 years ago

GPL

BASTOLA TISHIO DAR!

Stori:Waandishi wetu
IKIWA  imebakia siku moja kabla ya mwaka 2014 kumalizika, jiji la Dar es Salaam limejikuta likigubikwa na mauaji ya mara kwa mara, hasa ya kutumia silaha baada ya kubainika kuzagaa kwa bastola zilizo mikononi mwa watu waovu. Madaraka. Silaha hizo sasa zimekuwa kama simu za mikononi ambazo karibu kila mtu jijini Dar es Salaam anayo na hivyo kuwapa hofu kubwa wananchi  ambao hawajui lini na wapi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani