WANANCHI WAASI, WAWASHAMBULIA WATENDAJI, VIONGOZI
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue
Takribani wiki moja baada ya Ikulu kukana Rais Jakaya Kikwete, kuagiza watumishi wa serikali kuchangishwa fedha na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) na watumishi wengine wa serikali kupinga walimu kukatwa mishahara kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari nchini, baadhi ya wananchi mkoani Singida wameasi na kuwashambulia na kuwajeruhi viongozi wa serikali waliokuwa wakitekeleza mpango huo.
Wananchi hao wanadaiwa kuwashambulia na kuwajeruhi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Sep
Mlipuko waua viongozi wa waasi Syria
11 years ago
Mwananchi28 Jan
‘Waasi’ sasa tishio kwa wananchi Tabata
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Kinana awalipua watendaji, viongozi
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
DC aagiza watendaji kujiunga CHF kuvutia wananchi
Kaimu meneja mfuko wa taifa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Adamu Salum,akizungumza siku ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha wananchi wa kijiji cha Simbanguru wilayani Manyoni kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF),juzi.Amedai kwamba ugonjwa haubagui wala hautoi taarifa ya ujio wake,hivyo kujiweka upande salama,ni kujiunga na mifuko ya afya ukiwemo wa CHF.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
MKUU wa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida Fatma Hassan Toufiq ameagiza viongozi wa ngazi mbalimbali...
11 years ago
Michuzi
Viongozi Watendaji wa Serikali wakutana kujadili mifumo ya ufuatiliaji na tathmini
“Napenda kuishukuru sana Taasisi ya Uongozi, na Mtendaji wake Mkuu, Prof. Joseph Semboja, kwa mchango wao mkubwa...
9 years ago
StarTV03 Dec
Mbunge wa Bunda kutowavumilia watendaji wazembe katika utoaji wa huduma kwa wananchi
Mbunge wa jimbo la Bunda Boniphace Mwita amesema kuwa hatawavumilia watendaji wa serikali na viongozi wa ngazi mbalimbali jimboni humo ambao watashindwa kwenda na kasi ya rais Magufuli kwani hatakuwa tayari kufanyakazi na watu wazembe.
Mbunge huyo wa Bunda ameyasema hayo kwenye kikao elekezi alichokiandaa katika kata ya Nyamuswa kikishirikisha viongozi wa ngazi mbalimbali na watendaji wote wa serikali, ili kila mmoja atambuwe wajibu wake wa kutumikia wananchi.
Mbunge wa Bunda Boniphace...
10 years ago
Michuzi
Balozi Seif Iddi afunga mafunzo elekezi ya siku Tano ya Viongozi na watendaji wa CCM, Zanzibar


5 years ago
CCM BlogVIONGOZI, WATENDAJI WILAYANI UBUNGO WANOLEWA KUWAONGEZEA UWEZO KATIKA USIMAMIZI NA UENEDESHAJI SERIKALI ZA MITAA
Na Bashir Nkoromo, Ubungo
Wenyeviti na Watendaji wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa Kata...
10 years ago
MichuziMEYA MANISPAA YA MOSHI AWASEMEA WATENDAJI WANAO HUJUMU MALI ZA UMMA KWA WANANCHI