Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wataka suluhu la kisiasa

Mpatanishi mkuu upande wa waasi kwenye mgogoro wa Sudan Kusini, ametoa wito wa kuwepo suluhu la kisiasa akisema kuwa ndilo jibu la kipekee kwa mzozo huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

CAR:Waasi wataka nchi kugawanywa

Waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR wamekataa makubaliano ya kusitsisha vita na kutaka taifa hilo ligawanywe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wasusia mazungumzo ya amani

Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi Yemen kuacha mapigano?

Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la UG vitani na waasi S.Kusini

Uganda imekiri kupambana na waasi hao wanaoongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar tangu mwanzoni mwa wiki hii

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi

Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Hatujatoroka', wasema waasi wa Ukraine

Wapiganaji wanaounga mkono Urusi Mashariki mwa Ukraine wamepinga ripoti kwamba wameitoroka ngome yao kuu ya mji wa Slovianski.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S

Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wadhibiti ulinzi wa Bentiu

Waasi nchini Sudan Kusini wameanza harakati za kuulinda vikali mji wa Bentiu ambao waliutwaa kutoka kwa serikali wakihofia majeshi ya Serikali kuupigania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine

Mwanasiasa anayetambulika kama muasi mkuu nchini Ukraine yuko katika hali mahututi hospitalini baada ya watu waliokuwa wamejihami kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani