Waasi wataka suluhu la kisiasa
Mpatanishi mkuu upande wa waasi kwenye mgogoro wa Sudan Kusini, ametoa wito wa kuwepo suluhu la kisiasa akisema kuwa ndilo jibu la kipekee kwa mzozo huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
CAR:Waasi wataka nchi kugawanywa
Waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR wamekataa makubaliano ya kusitsisha vita na kutaka taifa hilo ligawanywe.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Waasi wasusia mazungumzo ya amani
Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Waasi Yemen kuacha mapigano?
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Jeshi la UG vitani na waasi S.Kusini
Uganda imekiri kupambana na waasi hao wanaoongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar tangu mwanzoni mwa wiki hii
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi
Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
'Hatujatoroka', wasema waasi wa Ukraine
Wapiganaji wanaounga mkono Urusi Mashariki mwa Ukraine wamepinga ripoti kwamba wameitoroka ngome yao kuu ya mji wa Slovianski.
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S
Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Waasi wadhibiti ulinzi wa Bentiu
Waasi nchini Sudan Kusini wameanza harakati za kuulinda vikali mji wa Bentiu ambao waliutwaa kutoka kwa serikali wakihofia majeshi ya Serikali kuupigania.
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine
Mwanasiasa anayetambulika kama muasi mkuu nchini Ukraine yuko katika hali mahututi hospitalini baada ya watu waliokuwa wamejihami kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania