WABUNGE WAKUNWA NA HIFADHI YA GOMBE KIGOMA

Baadhi ya watalii wakiwa eneo la hifadhi ya Gombe. Na Ojuku Abraham WABUNGE ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, wamekunwa na kitendo cha Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) kupitia hifadhi yake ya Gombe mkoani Kigoma, kujenga vyumba vinne vya madarasa ya Shule ya Sekondari ya Kagongo. Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo, Mheshimiwa Abdulkarim Shah alitoa pongezi hizo hivi karibuni...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WABUNGE WA MKOA WA KIGOMA WAKUNWA NA MIRADI YA UN
WABUNGE wa mkoa Kigoma wameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya mpango wa pamoja Kigoma (KJP) chini ya mashirika 16 ya Umoja wa Mataifa na kwamba miradi hiyo imeleta faida na mabadiliko makubwa kwa jamii.
Mwenyekiti wa wabunge wa mkoa kigoma, Daniel Nsanzugwanko alisema hayo alipokuwa akiongozi timu ya wabunge wa mkoa huo na wajumbe wa kamati ya ushauri ya mkoa Kigoma kutembelea na kukagua miradi inayotekelezwa chini ya mpango wa...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
GOMBE: Hifadhi yenye sokwe wanaoishi kama binadamu
TANZANIA imejaliwa kuwa na hifadhi zenye vivutio mbalimbali wakiwamo wanyama, ndege, maua, milima, vijito, fukwe nzuri na maporomoko ya maji. Hifadhi zilizopo ni Mlima Kilimanjaro, Gombe, Rubondo, Katavi, Ruaha, Kitulo,...
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Wabunge ‘wakunwa’ na miradi ya maji Kibiti
11 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA GOMBE
11 years ago
Michuzi.jpg)
Wabunge wa CPA Tanzania watembelea Hifadhi za Taifa
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA KUWAHOJI WAOMBA HIFADHI (NEC) YAANZA KAZI KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU, KIGOMA
.jpg)
10 years ago
MichuziKigoma wapongezwa kwa ubunifu wa kuwasafirisha waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wanaoingia nchini
9 years ago
Habarileo20 Nov
Jukwa la Katiba wakunwa uteuzi wa Majaliwa
JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) limepongeza uteuzi wa Waziri Mkuu uliofanywa na Rais John Magufuli kwa kumteua Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa.
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Boko Haram waondoka Gombe