Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wamtia moyo Nyalandu kuhusu shutuma

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar walipokutana katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha

Wabunge wa Kanda ya Kaskazini wamemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutovunjika moyo kutokana na kauli za baadhi ya watu wanaoushutumu utendaji wake.

Wakizungumza katika mkutano wa viongozi wa mikoa ya Arusha na Kilimanajaro, wabunge hao wamesema wanaomuandama wana kinyongo na utendaji wake.

Wabunge hao ni Aggrey...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tamko la Mhe. Nyalandu kuhusu shutuma za Mbunge Mhe. Nassari

8142Lazaro-Nyalandu

Waziri wa Mali asili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.

“Nimesikitishwa sana na kauli ya Mhe. Joshua Nassari ambayo ameongea kwa kudhalilisha  utendaji wangu  serikalini. 

Naomba  Mh. Nassari  afahamu kuwa  kunikashifu pasipo  kueleza masuala  ya kisera  au ya kiutendaji ni  kupungukiwa na busara  ya kawaida kwa kiongozi aliyepaswa kuwawakilisha wapiga kura wake kwa hoja. Itakumbukwa kuwa hivi karibuni Mhe. Nassari aliniita Jimboni kwake  Arumeru Mashariki akiniomba nitatue  tatizo  lililohusu...

 

5 years ago

Michuzi

TAHADHARI KUHUSU WAGONJWA WANAOCHANGISHA FEDHA ZA MATIBABU YA MOYO KWA AJILI YA KUTIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)



Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) unapenda  kuutahadharisha  Umma kuwa waangalifu na wagonjwa wanaochangisha fedha kwa ajili ya  kutibiwa katika Taasisi hii. Ndugu Mwananchi, inawezekana wagonjwa hao wanaochangisha fedha za matibabu wanakuwa tayari wamepata  msamaha wa matibabu kutoka kwa Taasisi au wasamaria wema...

 

10 years ago

Mwananchi

BAJETI: Wabunge wamshukia Nyalandu

>Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira na Kambi ya Upinzani Bungeni jana waliungana kumbana Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu wakisema amelikosesha Taifa mabilioni ya shilingi.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyalandu aibua tena mgogoro na wabunge

Dar es Salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ameingia katika mvutano na mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli baada ya kuliagiza Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), kusitisha utaratibu wa kulazimisha watalii kulipa kila waingiapo kwenye hifadhi.

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge wampa kibano Waziri Nyalandu

Lazaro-NyalanduNa Khamis Mkotya, Dodoma
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya wabunge wengi kushutumu utendaji wake wakisema umekuwa chanzo cha wizara hiyo kuzorota katika maendeleo.
Kwa mujibu wa wabunge hao, kitendo cha waziri huyo kushindwa kutekeleza agizo la mahakama kuhusu tozo mpya katika hoteli za utalii kimefanya Serikali kupoteza zaidi ya Sh bilioni 20 kila mwaka.
Wabunge hao pia walishangazwa na kitendo cha wizara hiyo kulazimisha mfumo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KUHUSU WAZIRI NYALANDU

 TAARIFA RASMI
Katika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye  kichwa cha habari;
  KASHFA IKULU;
·    Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
·    Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
·    Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro NyalanduI.   
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuwafahamisha Umma kuwa, tuhuma hizi si za...

 

10 years ago

Mwananchi

Aunt Ezekiel afunguka kuhusu uhusiano wake na Waziri Nyalandu

Umewahi kusikia mwigizaji Aunt Ezekiel akihusishwa na uhusiano na Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu? Basi mwigizaji huyo amefunguka na kuwajia juu wale wote wanaomchafua na kudai kuwa hakuna kama baba wa mtoto wake Mose Iyobo.

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...

 

11 years ago

Habarileo

Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani