Wabunge waomba ofisi wakiwa Dodoma
WABUNGE wameendelea kupigia debe maslahi mazuri sanjari na mazingira bora ya kufanyia kazi kwa kutaka pamoja na masuala mengine, serikali iangalie uwezekano wa kumpatia kila mbunge ofisi ya kufanyia kazi awapo Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Mar
Wabunge waomba ulinzi wa polisi
BAADHI ya wabunge wameitaka Serikali kuona umuhimu wa kuwawekea ulinzi wabunge na viongozi wengine wa Serikali bila upendeleo, kwa kuwa wanaishi katika maisha ya hofu na hatarishi.
10 years ago
Michuzi23 Dec
WATANZANIA WAOMBA OFISI YA UBALOZI QATAR
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Wabunge waomba msamaha Hong Kong
10 years ago
CloudsFM06 Oct
Wasanii wakiwa kwenye interview Ras Fm Dodoma
Recho
Vanessa Mdee
Linnah
Nay Wa Mitego
Stamina
Young Killer
Mo Music
K-Style
Jux
G-Lucky
Fid Q
Eddu Boy
Dully Sykes
Ally Kiba
Mr.Blue
Baraka Da Prince
10 years ago
Bongo Movies12 Aug
Picha: Wema Sepetu na Steve Nyerere Wakiwa Ikulu ya Dodoma na Rais Kikwete
Hizi ni baadhi ya picha za mastaa wabongo movies, Wema Sepetu na Steve Nyerere zilizo trend siku ya leo kwenye mtandao wa instagram wakiwa na Rais Kitwete Ikulu ndogo, Dodoma.
“Wakati nyie mnaongea upuuzi… Yangu yaninyookea….. Alhamdulillah… Wa moja havai mbili… Abadan asilan…. Earlier today… Ikulu… Dodoma… Thank u Mr.President”-Wema aliandika hayo kwenye moja ya picha hizo.
Kwa maneno hayo, inawezekana mastaa hawa wakawa wamepata shavu kutoka kwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
‘Wabunge EAC wawe na ofisi’
SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kwamba wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wanakuwa na ofisi na vitendea kazi kwa ajili ya shughuli zao. Rai hiyo ilitolewa na wabunge mbalimbali waliochangia mjadala...
10 years ago
Habarileo19 May
Wabunge walia na rushwa ofisi za umma
KUKOSEKANA kwa Sheria ya kutenganisha biashara na uongozi ili kuweka nidhamu kwa viongozi wa umma kumesababisha kuwepo na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa viongozi hao, ambao wamekuwa wakitumia ofisi za umma kwa maslahi binafsi, hivyo kufanya vitendo vya rushwa kukithiri.
5 years ago
Bongo514 Feb
Wabunge waridhishwa na utendaji kazi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya umma na Utawala bora
Waheshimiwa wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa nyakati tofauti wameelezea kuridhishwa kwao na utendaji wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya umma na Utawala bora na taasisi zake kwa kuweza kutoa huduma bora kwa wananchi.
Taarifa iliyotelewa Alhamisi hii na Ofisi ya Rais Menejimenti ya umma na Utawala bora, imeandika kuwa wabunge wameridhishwa na utendaji kazi wa kitengo hicho kama ifuatavyo;
Wabunge wameonyeshwa kuridhishwa huko wakati wakichangia hoja kuhusiana na masuala ya...
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)