Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WABUNIFU, WAKADIRIAJI MAJENZI: Fani nyeti isiyopewa umuhimu

HIVI karibuni Bodi ya Usajili ya  Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) iliandaa semina  ya siku mbili mkoani Mbeya. Semina hiyo iliwashirikisha zaidi ya wanataaluma 600 kutoka mikoa mbalimbali, lengo likiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA USAJILI WA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI KUFANYIKA JIJINI DAR, SEPTEMBA 18

Na Dotto Mwaibale 
 BODI ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) katika kipindi cha kuanzia mwaka 1998 hadi sasa imezifungia kampuni 86 kufanyakazi ya ukandarasi baada ya kushindwa kufuata sheria za ujenzi. 
 Hayo yalielezwa na Msajili wa bodi hiyo Jehad Jehad wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkutano wa usajili wa wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi utakaofanyika ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Septemba...

 

9 years ago

Michuzi

WABUNIFU WA MAVAZI NCHINI WAKUSANYA NGUVU KWA PAMOJA KUHUBIRI JUU YA UMUHIMU WA AMANI

Mbunifu wa Mavazi nchini, Mustafa Hassanali akizungumza na  Waandishi wa Habari hawapo pichani juu ya umuhimu wa Amani hususani katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, Mwaka huu na kusisitiza onyesho la mavazi litakalo fanyika tarehe Oktoba  17 Mwaka huu katika ukumbi wa King Solomon uliopo Eater Point Namanga, ambalo litakaloonyesha kazi za wa wabunifu mbalimbali kama Kiki Zimba pamoja na Martin Kadinda. Baadhi ya Waandishi wa Habari wakisikiliza kwa makini taarifa iliyokuwa inatolewa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwinyi awaasa wasanifu, wakadiriaji

RAIS Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaji Alli Hassan Mwinyi amewaasa wasanifu majengo na wakadiriaji ujenzi kuepuka rushwa, ubadhilifu na kupinga uzembe unaosababisha kuanguka kwa maghorofa. Hayo aliyasema juzi wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA WASHIRIKA MAJENZI YA KIJANI WA AFRIKA MASHARIKI, JIJINI ARUSHA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano mkuu wa kwanza wa Washirika Majenzi ya Kijani wa Afrika Mashariki, uliofanyika leo Machi 19, 2015 kwenye Hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii, PSPF, Adam Mayingu, wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kwanza wa Washirika Majenzi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, uongo ni fani?

Uchuku au uongo ama urongo ni hali na tabia ya kutosema kweli; tabia ya kudanganya na hata kutokuwa muwazi. Yupo mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema: ‘...lying is an art’ akimaanisha ya kwamba ‘tabia ya kusema uongo ni kipaji’ ama ni sanaa ya aina ya kificho na kipekee pia. Kipaji ni uwezo fulani alionao mtu unaomwezesha kulifanya jambo vizuri ni kipawa.

 

10 years ago

Mwananchi

Fani katika tamthiliya ya Orodha

Fani ni ufundi wa kisanaa aliotumia mwandishi katika kazi yake. Fani inajumuisha muundo, mtindo, matumizi ya lugha, wahusika na mandhari.

 

11 years ago

Mwananchi

Utalii wa fani ya picha uimarishwe

Moja ya changamoto zinazokabili sekta ya utalii ni utangazaji wa ndani na nje. Sekta hii kwa kweli ni muhimu sana katika maendeleo ya nchi, lakini mfumo wa utangazaji iliwateja waweze kujua vivutio vilivyoko bado haujaendelea sana.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanafunzi someni fani zenye fursa’

Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira, imeandaa mpango wa kutoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali, ili kuwajenga wasomee fani zenye fursa za ajira.

 

11 years ago

Mwananchi

Hatua za kuchagua fani ya maisha yako

Uzoefu unaonyesha kuchagua fani limekuwa jambo gumu kwa watu wengi, hususan wanafunzi waliopo shuleni na vyuoni. Makala haya, yakidurusu rejea mbalimbali, yanajaribu kuwasaidia wanafunzi kujua njia bora wanazoweza kutumia kujua ndoto ya maisha yako kitaaluma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani