Mwinyi awaasa wasanifu, wakadiriaji
RAIS Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaji Alli Hassan Mwinyi amewaasa wasanifu majengo na wakadiriaji ujenzi kuepuka rushwa, ubadhilifu na kupinga uzembe unaosababisha kuanguka kwa maghorofa. Hayo aliyasema juzi wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMwinyi awaasa wanafunzi kuchangamkia fursa ya kupata taaluma Chuo Kikuu cha Kampala
Akiongea wakati wa mahafali ya tatu ya chuo hicho kwa upande wa Tanzania jana ambapo wahitimu walitunikiwa shahada ,stashahada na vyeti vya kufuzu fani mbalimbali alisema chuo hicho kinatoa elimu bora ...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
WABUNIFU, WAKADIRIAJI MAJENZI: Fani nyeti isiyopewa umuhimu
HIVI karibuni Bodi ya Usajili ya Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) iliandaa semina ya siku mbili mkoani Mbeya. Semina hiyo iliwashirikisha zaidi ya wanataaluma 600 kutoka mikoa mbalimbali, lengo likiwa...
10 years ago
MichuziMKUTANO WA USAJILI WA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI KUFANYIKA JIJINI DAR, SEPTEMBA 18
BODI ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) katika kipindi cha kuanzia mwaka 1998 hadi sasa imezifungia kampuni 86 kufanyakazi ya ukandarasi baada ya kushindwa kufuata sheria za ujenzi.
Hayo yalielezwa na Msajili wa bodi hiyo Jehad Jehad wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkutano wa usajili wa wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi utakaofanyika ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Septemba...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Kabaka awaasa wanahabari
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Sumaye awaasa vijana
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye (pichani) amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao.
Sumaye alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya nane ya chuo cha uongozi Azania.
Alisema vijana ambao wanapata nafasi mbalimbali za kusoma ni lazima wajue kuwa wamepata bahati ya pekee ya kutumikia nchi na jamii inayowategemea kwa ubora na ufanisi.
“Elimu ni ufunguo muhimu wa maisha, ukiutumia...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Kamanda Mpinga awaasa madereva
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, amewaasa madereva wa mabasi ya abiria kufuata taratibu, kanuni na sheria, ili kazi yao iweze kuheshimiwa na jamii. Alitoa wito huo...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Askofu awaasa wajumbe kuheshimiana
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Msigwa awaasa walimu Iringa
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amewataka walimu wa Halmashauri ya Iringa, wagome kulipa michango ya lazima kwa ajili ya ujenzi wa maabara. Msigwa alitoa kauli hiyo jana...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Sumaye awaasa viongozi Afrika
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewaasa viongozi wa nchi za Afrika kutumia rasilimali walizonazo na fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. Sumaye alitoa wito huo jana nchini Marekani, katika Chuo Kikuu cha Elizabeth...