Wachimbaji hatarini kufutiwa umiliki
Wachimbaji wadogo 37 wanaomiliki leseni za uchimbaji dhahabu mkoani Singida, wapo hatarini kupoteza leseni hizo kutokana na kushindwa kutekeleza matakwa ya kanuni na sheria zinazodhibiti madini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Mashamba ya Balali kufutiwa umiliki
MASHAMBA yanayodaiwa kumilikiwa na aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu nchini, hayati Daudi Balali yameridhiwa na Baraza la Madiwani wilayani Kilombero kufutiwa umiliki wake. Taarifa ya Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Daudi...
9 years ago
MichuziILI KUEPUKA KUBOMOLEWA, KUFUTIWA UMILIKI JIEPUSHE NA HAYA.
Na Bashir YakubSerikali mpya imeanza kwa kasi kubwa kufuta umiliki wa viwanja nyumba na kubomoa yale maeneo yote wanayoona hayastahili. Upo umuhimu wa kujua namna ya kuepuka kuingia katika janga hili.
1.Kifungu cha 45 (2)(i-vi) cha Sheria ya Ardhi kinaeleza sababu za msingi zinazoweza kusababisha mhusika kubomolewa, kufutiwa umiliki ardhi kama ifuatavyo :( a ) Kwanza iwapo eneo limetelekezwa kwa muda usiopungua miaka miwili. Muda usiopungua miaka miwili maana yake ni...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
11 years ago
Habarileo21 May
Migodi 18 ya tanzanite kufutiwa leseni
MIGODI 18 ya madini aina ya tanzanite yaliyopo Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara inafutiwa leseni ya uchimbaji baada ya wamiliki wa migodi hiyo kukiuka sheria ya madini.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--KAep0SRgeU/VYc0eF6oemI/AAAAAAAHiPg/lCrf0_5lU-o/s72-c/Ardhi-3a.jpg)
MATOKEO YA KUFUTIWA HATI YA ARDHI.
![](http://2.bp.blogspot.com/--KAep0SRgeU/VYc0eF6oemI/AAAAAAAHiPg/lCrf0_5lU-o/s640/Ardhi-3a.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 May
Makandarasi wabishi kufutiwa usajili
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Nchi zenye Ebola kufutiwa madeni
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viwanja 200 Moshi kufutiwa hati
10 years ago
Habarileo18 Oct
Madereva wanuka pombe kufutiwa leseni
KAMATI Maalumu iliyoundwa na Serikali kutathmini ongezeko la ajali za barabarani nchini, imependekeza madereva watakaokutwa wakinukia pombe, wafutiwe leseni.