Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimbaji hatarini kufutiwa umiliki

Wachimbaji wadogo 37 wanaomiliki leseni za uchimbaji dhahabu mkoani Singida, wapo hatarini kupoteza leseni hizo kutokana na kushindwa kutekeleza matakwa ya kanuni na sheria zinazodhibiti madini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mashamba ya Balali kufutiwa umiliki

MASHAMBA yanayodaiwa kumilikiwa na aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu nchini, hayati Daudi Balali yameridhiwa na Baraza la Madiwani wilayani Kilombero kufutiwa umiliki wake. Taarifa ya Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Daudi...

 

9 years ago

Michuzi

ILI KUEPUKA KUBOMOLEWA, KUFUTIWA UMILIKI JIEPUSHE NA HAYA.


Na Bashir YakubSerikali  mpya  imeanza  kwa  kasi  kubwa kufuta  umiliki  wa  viwanja  nyumba na  kubomoa  yale  maeneo  yote  wanayoona  hayastahili. Upo  umuhimu  wa  kujua  namna  ya  kuepuka  kuingia  katika  janga  hili.


1.Kifungu cha 45 (2)(i-vi) cha Sheria ya Ardhi kinaeleza sababu za msingi zinazoweza kusababisha mhusika kubomolewa, kufutiwa umiliki ardhi kama ifuatavyo :( a ) Kwanza iwapo eneo limetelekezwa kwa muda usiopungua miaka miwili. Muda usiopungua miaka miwili maana yake ni...

 

5 years ago

BBCSwahili

Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki

Serikali inafanya nini kuhakikisha sheria ya umiliki wa ardhi inawafaidisha wanawake.

 

11 years ago

Habarileo

Migodi 18 ya tanzanite kufutiwa leseni

MIGODI 18 ya madini aina ya tanzanite yaliyopo Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara inafutiwa leseni ya uchimbaji baada ya wamiliki wa migodi hiyo kukiuka sheria ya madini.

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA KUFUTIWA HATI YA ARDHI.

Na Bashir YakubMakala  zilizopita  nilieleza   mazingira ya  kisheria  ambapo  mtu  anaweza   kunyanganywa  ardhi  yake  na  kufutiwa  hati  miliki  na  hatimye  ardhi  kupewa  mtu  mwingine  au  kukabidhiwa  mikononi  mwa  serikali. Nilieleza  mambo  mengi  ikiwemo   sababu  ambazo  zinaweza  kupelekea mamlaka  za  ardhi  kufuta  hati  miliki  ya mtu.  Pia  nilionya  kuwa unapomiliki  ardhi  sio  kwamba  umemaliza,  hapana,  isipokuwa  kuna umuhimu  mkubwa wa  kuzingatia  na  kufuata...

 

11 years ago

Mwananchi

Makandarasi wabishi kufutiwa usajili

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameitaka Bodi ya Usajili ya Makandarasi Tanzania (CRB), kuwabana na kuwafutia usajili makandarasi ambao hawafuati na kuzingatia sheria za ujenzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nchi zenye Ebola kufutiwa madeni

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imetaka mataifa na mashirika yanayotoa mikopo kutafakari kwa kina uwezekano wa kufutilia mbali mikopo iliyopewa mataifa yaliyoathirika zaidi na Ebola.

 

11 years ago

Mwananchi

Viwanja 200 Moshi kufutiwa hati

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, inamsubiri Rais Jakaya Kikwete aidhinishe ufutwaji wa hati za viwanja 200 ambavyo havijaendelezwa ili ivigawe kwa watu wengine.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wanuka pombe kufutiwa leseni

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harison Mwakyembe na Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, wakionesha ripoti ya hali ya ajali zinazosababishwa na mabasi Dar es Salaam jana. Ripoti hiyo iliandaliwa na kamati maalumu iliyoundwa kutokana na mawaziri wa wizara nne kutafuta suluhisho la ajali za mabasi nchini. (Picha na Mroki Mroki).KAMATI Maalumu iliyoundwa na Serikali kutathmini ongezeko la ajali za barabarani nchini, imependekeza madereva watakaokutwa wakinukia pombe, wafutiwe leseni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani