ILI KUEPUKA KUBOMOLEWA, KUFUTIWA UMILIKI JIEPUSHE NA HAYA.
Na Bashir YakubSerikali mpya imeanza kwa kasi kubwa kufuta umiliki wa viwanja nyumba na kubomoa yale maeneo yote wanayoona hayastahili. Upo umuhimu wa kujua namna ya kuepuka kuingia katika janga hili.
1.Kifungu cha 45 (2)(i-vi) cha Sheria ya Ardhi kinaeleza sababu za msingi zinazoweza kusababisha mhusika kubomolewa, kufutiwa umiliki ardhi kama ifuatavyo :( a ) Kwanza iwapo eneo limetelekezwa kwa muda usiopungua miaka miwili. Muda usiopungua miaka miwili maana yake ni...
Michuzi
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10