Wadau wa sukari watakiwa kuwa waaminifu
SERIKALI imetaka wadau wa sukari nchini, kuwa na uzalendo wa hali ya juu katika uzalishaji na uuzaji wa bidhaa hiyo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu alisema kwa kufanya hivyo watapunguza matatizo yanayojitokeza mara kwa mara na malalamiko miongoni mwa wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Nagu awataka wadau wa sukari kuwa wazalendo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-7-ByR5t2kDW51B0pganxbe1K0qw6o8PVg*Hr-NSsDt*T85kyVmARMnrzISmYwqyYrzW4u4udWxy7rQIXLzZtP/unnamed1.jpg?width=650)
WASIRA AAGIZA WADAU WA SUKARI KUINGIZA SOKONI BIDHAA HIYO BADALA YA KUIFUNGIA GHALANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rOupGOl8G-U/VNw0WXwIh9I/AAAAAAAHDPA/4h6EAezEPGk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Wasira aagiza wadau wa Sukari kuingiza sokoni bidhaa hiyo badala ya kuifungia ghalani
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Wadau wa elimu watakiwa kusimamia uandikishaji
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Wadau wa sanaa, kumbi, watakiwa kujisajili Basata
KAIMU Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mungeleza amewataka wasanii na wadau wote wanaojihusisha na shughuli za sanaa kujisajili kwa baraza hilo kupata vibali vya kuendesha...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wadau watakiwa kuungana vita dhidi ya VVU
MGANGA Mkuu wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani, Dk. Godfrey Njile, amewataka wadau nchini kuungana, ili kupambana na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Dk Njile alitoa kauli hiyo hivi karibuni katika...
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”
Akizungumzia...
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Wataalamu wa mipangomiji watakiwa kutobadili mipango inayowekwa na wadau wa maendeleo
Baadhi ya viongozi wa serikali za mitaa katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa na wawezeshaji kwenye mkutano wa uwasilishaji wa mpango wa jumla(Master plan) na kujenga uwezo juu ya utekelezaji wa uendelezaji miji (ULGS) uliofanyika kwenye majengo ya Chuo cha Ufundi cha VETA mjini Singida.
Baadhi ya wadau mbali mbali wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida waliohudhuria kwenye mkutano wa uwasilishaji wa mpango wa jumla (Master plan) na kujenga uwezo...