Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara epukeni hasara hizi za kizembe

Septemba mwaka jana, mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro ilitangaza operesheni ya kupambana na vipodozi vyenye viambato vya sumu na pombe haramu zinazofungwa kwenye mifuko ya plastiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Tiketi hizi zingetutia hasara’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeweka wazi sababu za kusimamisha matumizi ya tiketi za elektroniki kwa kuhofia kupata hasara ya zaidi Sh500 milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Magazeti ya Kiswahili yanafanya makosa ya kizembe

Katika mapitio ya magazeti ya Kiswahili bado makosa yanaonekana na hivyo hatuna budi kukemea pale ambapo makosa yenyewe ni ya kizembe. Nimetumia maneno ‘ya kizembe’ kwa sababu ni aibu kwa mwandishi kuandika neno kujiuzuru badala ya kujiuzulu kwa sababu matumizi ya herufi  /l/ na /r/  ni tofauti. Hivyo kuyachanganya ni uzembe kwani tunapokuwa na wasiwasi tunatumia kamusi. Je, wewe mwandishi wa makala au wa habari unayo kamusi ya Kiswahili. Kama huna jitahidi ununue moja...

 

11 years ago

Mwananchi

Manispaa, daladala chanzo cha foleni za kizembe

Uegeshaji hovyo wa daladala barabarani pamoja na manispaa kutojenga vituo vya kugeuzia mabasi ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha foleni za kizembe jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

ankal aonja na kushuhudia live uendeshaji wa kizembe barabarani...

Kamanda Mpinga na kikosi chake cha Usalama Barabarani kweli wana kazi. Ankal kalishuhudia hili wakati akirejea kutoka Dodoma kikazi kurudi Dar es salaam ambapo wakati akisafiri barabara ya Morogoro alikutana na mambo ya kutisha yanayoelekea kuendelea katika barabara zetu na kupelekea ajali za kila siku.  Kwanza Ankal alishuhudia ajali za barabarani takriban tatu hivi katika siku moja tu ya Machi 20, 2015 ambapo alishuhudia lori la semi-trela za gari (zote) za Scania ambapo ya kwanza ilikuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Epukeni propaganda za CCM’

MKURUGENZI wa Sera na Utafiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwitara Waitara amewataka wananchi kujihadhari na propaganda zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mchakato wa Katiba mpya....

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Epukeni tiba za kitapeli’

MKURUGENZI wa Kitengo cha Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk. Poul Mhare, amewataka wananchi kujiepusha na matapeli wanaoweka mabango barabarani na kujifanya wanatibu magonjwa mbalimbali kwa tiba asilia. Alitoa kauli...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Epukeni matapeli wa kisiasa

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli, amewataka Watanzania kuwa makini wasije kudanganywa na matapeli wa kisiasa watakaokuja na ahadi za uongo.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Epukeni uzalishaji wa mazao sumu’

Wakulima nchini wametakiwa kuepuka kuzalisha mazao yenye sumu asili inayoweza kuathiri afya ya walaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani