Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tiketi hizi zingetutia hasara’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeweka wazi sababu za kusimamisha matumizi ya tiketi za elektroniki kwa kuhofia kupata hasara ya zaidi Sh500 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara epukeni hasara hizi za kizembe

Septemba mwaka jana, mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro ilitangaza operesheni ya kupambana na vipodozi vyenye viambato vya sumu na pombe haramu zinazofungwa kwenye mifuko ya plastiki.

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Misamaha ya kodi ni hasara’

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema misamaha ya kodi imepanda kutoka Sh1.4 trilioni mwaka 2012/13 hadi Sh1.8 trilioni mwaka 2013/14, chanzo ni misamaha ya kodi katika miradi mikubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Upuuzi wa ubaguzi ni busara au hasara?

Kwa kusoma magazeti, ungedhani kwamba watu wote nchini wanavutiwa na hesabu tu, hesabu za Serikali na jinsi ya kuhesabu kura. Kumbe wengi hawamo kabisa katika hayo. Hebu ona barua hii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BCU wapata hasara ya Mil. 55/-

CHAMA cha Ushirika cha Biharamulo (BCU) kimepata hasara ya sh milioni 55.7 kutokana na uchakavu wa mitambo yake. Kwa mujibu wa ukaguzi uliofanywa na Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabingwa Chelsea watangaza hasara

Licha ya kuibuka mshindi wa ligi kuu ya Uingereza msimu uliopita ,Chelsea iliandikisha hasara ya dola milioni $34.9m

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda kuitia hasara Serikali

Uamuzi wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuruhusu malori makubwa ya mizigo yaendelee kuzidisha uzito wa mizigo, umetajwa kuwa ni hatari na utaisababishia Serikali hasara ya mamilioni ya fedha.

 

9 years ago

Habarileo

Tanesco Kilimanjaro watangaza hasara

SHIRIKA la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Kilimanjaro, limepata hasara ya zaidi ya Sh milioni 258 kwa kipindi cha Septemba hadi Novemba mwaka huu, kutokana na wizi wa nyaya za shaba na transfoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni yapata hasara Sh270milioni

Uzalishaji wa Maharage katika Shamba la Kampuni ya Sluis Brothers (EA) Limited, umeshuka kwa asilimia 95 na kusababisha hasara ya Sh270 milioni mwaka 2012/2013

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani