WAFANYABIASHARA KUTOKA QATAR WAHIMIZWA KUWEKEZA TANZANIA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula amesema kuwa Serikali imeweka mazingira rafiki ya uwekezaji, hivyo alitoa wito kwa wafanyabiashara kutoka Qatar kutumia fursa lukuki za uwekezaji zinazopatikana hapa nchini.
Balozi Mulamula aliyasema hayo kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Taifa ya Qatar iliyofanyika kwenye Hoteli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-H0V0bzwwVYQ/XmO-X-xBKoI/AAAAAAAA-BA/Q9r0wu5Jju8y1GTtyzn8b7nd2IuQrJc9wCLcBGAsYHQ/s72-c/BARAKA1.jpg)
WAFANYABIASHARA MUMBAI WAHIMIZWA KUTUMIA AIR TANZANIA
Pamoja na mambo mengine kongamano hilo lililenga...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1NIMfmzeOk/VLbR4paojcI/AAAAAAAG9YM/AqEwoJPRqRc/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
9 years ago
StarTV29 Dec
Watanzania wahimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi
Watanzania wamehimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi hususani kupitia viwanda ambavyo vitazalisha bidhaa bora zitakazouzwa nje ya nchi na kujipatia fedha za kigeni.
Hivi sasa Tanzania inatajwa kuingiza bidhaa nyingi kutoka nchi za nje hali inayosababisha kudorora kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani.
Kwa kiasi kikubwa Tanzania inauza bidhaa ghafi nje ya nchi ambazo thamani yake inakuwa chini wakati uingizwaji wa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na wafanyabiashara wa Qatar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano na wafanyabiashara hao uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. Alikuwa katika ziara ya kaikazi nchini humo. (Picha na...
10 years ago
MichuziNYALANDU AKARIBISHA WAFANYABIASHARA WA SAUDI ARABIA KUWEKEZA SEKTA YA UTALII NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p49r55PyQQA/Xtd8EVfGFFI/AAAAAAALsbA/sCveQTwJ5ocJv7OglyRCVfISaCunyM5twCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_131226_1.jpg)
WAFANYABIASHARA WA DAWA NA VIFAA TIBA WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA
Hayo yamesemwa jana na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kaskazini Proches Patrick wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, alisema kumekuwepo na baadhi ya wafanya biashara wasio...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BOYKWuzWk_o/VhuLmZddeBI/AAAAAAAH_WY/YX0miN43K1s/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO ZA MUUNGANO WA WAFANYABIASHARA NA WAMILIKI WA VIWANDA KUTOKA TANZANIA NA UTURUKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BOYKWuzWk_o/VhuLmZddeBI/AAAAAAAH_WY/YX0miN43K1s/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AmZ6NxOee04/VhuLnXwsiaI/AAAAAAAH_Wo/PASQF2l-E8g/s640/2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-F41trWvor6g/VhuTGsWi7NI/AAAAAAAEAqI/Bv3i4B-CrKA/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO ZA MUUNGANO WA WAFANYABIASHARA NA WAMILIKI WA VIWANDA KUTOKA TANZANIA NA UTURUKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-F41trWvor6g/VhuTGsWi7NI/AAAAAAAEAqI/Bv3i4B-CrKA/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RA4oAT0J5ts/VhuTHeA1xNI/AAAAAAAEAqY/FhQNGFMVDek/s640/2.jpg)
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq