Wafanyabiashara wawaonya mgambo
Songea. Baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Songea wamelalamikia tabia ya mgambo waliopo soko kuu kutokana na tabia yao ya kuwanyanyasa kuwapiga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Aug
Mgambo Mwisho Kukamata Wafanyabiashara Ndogondogo - CCM






10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Mgambo Mwisho Kukamata Wafanyabiashara Ndogondogo — CCM
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza mgombea mwenza wa tiketi ya CCM akihutubia Jimbo la Arumeru.
Baadhi ya wananchi na viongozi wa wafugaji wa kimasai wakifuatilia mkutano.
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza mgombea mwenza wa tiketi ya CCM akihutubia Jimbo la Arumeru.

Baadhi ya wananchi wakimsikiliza mgombea mwenza wa tiketi ya CCM akihutubia Jimbo la Arumeru.
Baadhi ya wanachama wa CCM wakimkabidhi zawadi katika mkutano wa hadhara wa mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu.
Anjela Kairuki...
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
Wasomi wawaonya wanasiasa
NA KHADIJA MUSSA
WANASIASA wametakiwa kutotumia changamoto za Muungano kama mtaji katika majukwaa yao.
Hata hivyo, watu wanaopinga Muungano wametakiwa kusoma historia yake na kufahamu sababu za kuanzishwa kwa kuwa wengi wao wanakosa hoja za msingi.
Pia, serikali imepongezwa kwa kupiga hatua katika ujenzi wa maabara za sayansi katika shule za sekondari.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Uhuru baadhi ya wasomi waliipongeza serikali kwa kupiga hatua za kimaendeleo katika kipindi cha miaka 51 ya...
10 years ago
StarTV04 Sep
Viongozi wa dini Kilimanjaro wawaonya wanasiasa
Viongozi wa madhehebu ya dini mkoani Kilimanjaro wamewaonya wanasiasa kuacha lugha potofu na zenye uchochezi ambazo zinaweza kusababisha uvunjifu wa amani hasa wakati huu ambao watanzania wako katika harakati za kufanya uchaguzi wa viongozi watakaoliongoza taifa kwa miaka mitano ijayo.
Kauli za viongozi hao zinakuja kutokana na baadhi ya wanasiasa kutumia mikutano na majukwaa ya kampeni kutamka maneno ambayo yanahatarisha amani nchini.
Hayo yamejiri katika mkutano ulioandaliwa na viongozi...
10 years ago
Mtanzania13 May
Upinzani Burundi wawaonya marais EAC
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakitarajiwa kukutana Dar es Salaam leo kujadili mzozo wa Burundi, wapinzani wa Rais Pierre Nkurunziza, wameapa kwa kusema kuwa ni lazima kiongozi huyo ang’atuke madarakani.
Pamoja na hali hiyo pia wameonya kuwa silaha zinazozagaa kwa wanamgambo nchini humo zikusanywe kwa vile ni hatari hata kwa usalama wa nchi jirani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Yanga, Mgambo vitani
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga leo wanaingia kambini Bagamoyo kujiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Yanga waivamia Mgambo Tanga
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
ZIKIWA zimebakia siku sita kabla ya timu ya Yanga kukipiga na Mgambo JKT ya mkoani Tanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, mmoja wa vigogo wa timu hiyo ametua jijini humo wikiendi iliyopita tayari kabisa kuweka mazingira sawa ya kuibuka na ushindi.
Yanga inakabiliwa na mchezo huo mgumu utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani kwenye mwendelezo wa ligi hiyo, iliyosimama takribani mwezi mmoja na nusu kupisha michuano ya Kombe la Chalenji na mechi za mbili za timu ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Mgambo aliyejeruhiwa na majambazi afariki
NA RABIA BAKARI
MGAMBO Venance Francis, aliyejeruhiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi, ambao waliteka kituo cha polisi, kuua askari na kupora silaha, amefariki.
Marehemu huyo, ambaye alijeruhiwa kwa risasi begani, alifariki jana wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani.
Tukio hilo la aina yake lilitokea usiku wa kuamkia juzi katika Kituo cha Polisi cha Mkamba, kilichoko Kimanzichana, wilayani Mkuranga, mkoani Pwani.
Kamishna wa Upelelezi na...