Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgambo aliyejeruhiwa na majambazi afariki


NA RABIA BAKARI
MGAMBO Venance Francis, aliyejeruhiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi, ambao waliteka kituo cha polisi, kuua askari na kupora silaha, amefariki.
Marehemu  huyo, ambaye alijeruhiwa kwa risasi begani, alifariki jana  wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani.
Tukio hilo la aina yake lilitokea usiku wa kuamkia juzi katika Kituo cha Polisi cha Mkamba, kilichoko Kimanzichana, wilayani Mkuranga, mkoani Pwani.
Kamishna wa Upelelezi na...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Katibu wa CCM aliyejeruhiwa aendelea kutibiwa

KATIBU wa UVCCM, Kata ya Majengo, Wilaya ya Kahama, Sebastian Masonga (34) anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando alikolazwa baada ya kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chadema akitoka kwenye kampeni za udiwani wilayani humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi aliyejeruhiwa kwa bomu afanyiwa upasuaji wa mkono

Askari polisi WP. 8616 PC Mariam ambaye alijeruhiwa kwa bomu kwenye bega la mkono wa kushoto juzi baada ya mmoja ambaye jina lake bado alijafahamika, amefanyiwa upasuaji.

 

11 years ago

Michuzi

SITTA AMJULIA HALI MJUMBE WA BUNGE MAALUM ALIYEJERUHIWA NA WATU WASIOJULIKANA

 Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sitta akimjulia hali mjumbe wa Bunge Maalum kutoka kundi la 201 Mhe. Thomas Mgoli aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma  baada ya kujeruhiwa na watu wasiojikana wakati akipata huduma katika duka moja lililopo karibu na mahali anapoishi Mjini Dodoma. Picha na Owen Mwandumbya

 

11 years ago

GPL

MTOTO ALIYEJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI AFIKISHWA NAIROBI KWA MATIBABU

Mtoto Satrin akiwa amebebwa na baba yake mzazi Benson Osinya ndani ya ndege kuelekea jijini Nairobi kwa matibabu. MTOTO Satrin Osinya aliyejeruhiwa na risasi iliyomuua mama yake katika shambulio la kigaidi lililofanywa kwenye kanisa la Joy of Jesus huko Likoni, Mombasa nchini Kenya Jumapili iliyopita, jana amefikishwa jijini Nairobi kwa matibabu. Mtoto Satrin Osinya wakati akipatiwa matibabu mjini Mombasa baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara wawaonya mgambo

Songea. Baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Songea wamelalamikia tabia ya mgambo waliopo soko kuu kutokana na tabia yao ya kuwanyanyasa kuwapiga.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Mgambo vitani

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga leo wanaingia kambini Bagamoyo kujiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tundu Lissu awalipua mgambo

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema anachukizwa na mgambo kuchangisha fedha za michango mbalimbali bila ya kujali kuwa wanazidisha umaskini kwa wananchi. Aidha, alisema kuwa serikali imekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani