Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wa Radio 5 wanolewa na BBC Media Action

unnamed (1)

Mkufunzi mwandamizi Pendael Omari wa shirika lisilo la kiserikali la BBC Media Action akiwa anatoa ufafanuzi katika mafunzo hayo yaliyokuwa yakifanyika katika ofisi za Radio 5,mafunzo hayo yalidumu kwa takribani wiki mbili.

unnamed (2)

Mtangazaji maarufu wa kituo hicho Ernest Matundiro a.k.a Prince de la ville kushoto akiwa anaandika vipengele muhimu katika uandishi wa habari,kulia ni Mhariri wa kituo hicho Monica Nangu.

unnamed (3)

Msimamizi mkuu wa vipindi vya Radio 5  kulia Mathew Philip akiwa anafatilia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Rwandan investigators to take action over BBC

>Rwandan investigators on Saturday urged the government to take action against the BBC and ban its radio programmes from the country’s airwaves over a controversial documentary questioning official versions of the 1994 genocide.

 

9 years ago

TheCitizen

Tanzanian media: Missing in action at our own peril

Last week the African Media Initiative (AMI) launched Zimeo Excellence in Media Awards to encourage good journalism in the continent. Why Zimeo? This is a Kiswahili word for “war cry”.

 

9 years ago

Bongo5

‘Nana’ ya Diamond yakamata namba 1 kwenye DNA Top 5 ya BBC Radio 1Xtra ya UK

Inatia moyo kuona nyimbo za wasanii wa Tanzania zinafanya vizuri kwenye chati mbalimbali za vituo vya Radio na Tv ndani na nje ya Afrika. Tumeshuhudia kazi za wasanii wa Bongo akiwemo Diamond, Vanessa Mdee, Alikiba, Joh Makini, Navy Kenzo ziking’ara katika chati za vituo tofauti. Wimbo wa Diamond aliomshirikisha staa wa Nigeria Mr Flavour, ‘Nana’ […]

 

9 years ago

Bongo5

Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza amtaja msanii wa Tanzania wa kutazamwa zaidi 2016

bbc radio 1

Mwaka unapoisha wafuatiliaji mbalimbali wa muziki huwa kwenye nafasi nzuri ya kuwafanyia tathmini wasanii kutokana na kazi walizofanya mwaka mzima, ambazo hutoa miongozo ya kutabiri nafasi ambazo wasanii hao wanaweza kuwa nazo katika mwaka unaofata.

vee

Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza, DJ EDu ametaja orodha ya wasanii wake watano wa kuwatazama zaidi mwaka 2016, kutokana na kufanya vizuri mwaka 2015. Katika orodha hiyo amemtaja muimbaji wa Tanzania, Vanessa “Vee Money” Mdee ambaye...

 

9 years ago

Bongo5

Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio

EAR - Online Promo

Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?

EAR - Online Promo

Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.

Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.

“Show yangu itahusika na...

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA RADIO 5 WAADHIMISHA SIKU YA RADIO DUNIANI

SAM_1097
Kushoto ni Mkuu wa vipindi vya Radio 5 Mathew Philip na Ashura Mohamed wakiwa katika picha ya  pamoja na wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika maadhimisho hayo ya Radio duniani.  Akizungumza na waandishi wahabari hivi karibuni Mkuu wa vipindi wa Radio 5 Bw.Mathew Philip alisema maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kituo hicho pamoja na Farm Radio, ikiwa ni kuhadhimisha siku ya Radio duniani ambapo ilifanyika  tarehe 13/2/2015...

 

10 years ago

Africanjam.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani