Wafanyakazi wa Tigo wapata fursa ya kusoma kupitia mtandao
Mfanyakazi wa Tigo katika kitengo cha Tigo Biashara, Janeth Kwilasa akikabidhiwa cheti na Mkurugenzi mkuu wa Tigo Diego Gutierrez ya mfanyakazi aliyesoma kozi nyingi zaidi kupitia mfumo wa mtandao uitwao Millicom University kwenye hafla iliofanyika katika ofisi za Tigo, Dar es Salaam.
Mkuu wa Tigo kitengo cha Intergrated Services, Kerion Barnes akikabidhiwa cheti na Mkurugenzi mkuu wa Tigo Diego Gutierrez ya mfanya kazi alieosoma kupitia mfumo wa mtandao uitwao Millicom University kwenye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.
Tigo Tanzania leo imekuwa...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wapata udhamini wa kusoma nchini Ireland
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wameitaka serikali kuwekeza katika masomo ya sayansi ili nchi kuweza kupata watalaam ambao watasaidia kutatua changamoto katika jamii.
Hayo waliyasema leo wanafunzi wa Sayansi Chimbukizi walioshinda mashindano ya utafiti kwa kutumia malighafi asili ya kutengeneza dawa ya kuua Nzi na Mbuu ambao wamepewa udhamini na Mfuko wa Karimjee Jivanjee (KJF)wa kwenda kusoma nchini Ireland.
Wanafunzi hao ni Dharia Amour Ali na Salma...
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
9 years ago
GPL11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KATAVI AFUNGUA MRADI WA KUSOMA KWA NJIA YA MTANDAO MKOANI MWAKE
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya
Ben Pol kutoka Tanzania (wa pili kushoto), Wangechi kutoka Kenya (wa tano kushoto) na Silva Stone kutoka Ghana (wa pili kulia) wakiwa pamoja na vijana kutoka Tanzania waliokwenda kushuhudia tamasha la Coke Studio Afrika nchini Kenya baada ya kushinda kupitia shindano lililoendeshwa kupitia akaunti ya instagramu ya Millard Ayo.
Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika kila mwaka katika mataifa tofauti tofauti ya Afrika....
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mtandao wa wakulima wapata viongozi wapya
5 years ago
Michuzi
Taasisi ya Shulesoft yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao, wanafunzi kusoma wakiwa nyumbani bila gharama

Na Avila Kakingo, globu ya jamiiTAASISI isiyo ya kiserikali ya Shulesoft hapa nchini yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao ili...