Wafungwa 150 wapelekwa Kwitanga kulima Mchikichi
![](https://1.bp.blogspot.com/-aagna4_tjq8/XlzNW-rGLVI/AAAAAAALgW0/UPWnhSe8anMotEwjPR7JgADddm3IL6e5wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Wafungwa 150 kutoka katika Mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Tabora wamepelekwa katika Gereza la Kwitanga Mkoani Kigoma ikiwa ni mkakati maalumu wa Serikali kuliteua gereza hilo kuwa Kituo Kikuu cha Uzalishaji wa zao la mchikichi nchini.
Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mkakati huo uliotolewa maagizo na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katikati ya mwaka 2018 alipofanya ziara gerezani hapo ukiwa na lengo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziJE.WAJUA FAIDA ZA MICHE YA MCHIKICHI.
KIGOMA MA MAFUTA YA MAWESE;
Mafuta ya mawese ama palm oil yana faida nyingi tu kwa ajili ya ngozi yako Yanalainisha ngozi na kuiacha ikiwa na unyevu unyevu
Siku hizi sabuni, shampoo na mafuta mengi yanayotengenezwa viwandani yanakua yanatumiwa mafuta ya mawese kama malighafi ya kutengenezea. Hii ni kwa sababu ya ubora wake na suluhisho katika maswala yanayohusu ngozi.
Yana virutubisho vinavyoweza kuponesha ngozi iliyochomwa na jua na yenye michirizi Kama ilivyo kwa mafuta mengine halisi mafuta...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NwSEZwA2iSo/Xs-7V0qujlI/AAAAAAALr3k/b0rBZTMQjrE4VSwuhRKKAK9wih7nk0acQCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25282%2529.jpg)
TANZANIA YAANZA KUTEKELEZA MKAKATI WA KUFUFUA ZAO LA MCHIKICHI MKOA WA KIGOMA.
Kufuatia hali hiyo Serikali ya Awamu ya Tano ilianza kutekeleza mkakati wa makusudi kwa kufufua zao la mchikichi katika Mkoa wa Kigoma ili kuwezesha uzalishaji wa mafuta na kuziba pengo la mafuta yanayoagizwa nje ya nchi ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe . Kassim Majaliwa.
Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MDEE NA WENZAKE WAPELEKWA SEGEREA
10 years ago
Mwananchi04 May
Wakimbizi wa Burundi wapelekwa Nyarugusi
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Majeruhi wa Simba wapelekwa Muhimbili
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Ngeleja,Chenge wapelekwa Maadili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ligi-kuu-1.jpg)
NUGAZ, MANARA WAPELEKWA KAMATI YA MAADILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s640/Ligi-kuu-1.jpg)
Kamati hiyo imeeleza kuwa viongozi hao wamekuwa wanatoa maneno ya kukashifu na kudhalilisha viongozi ,Chapa (Brand) ya Ligi na Taasisi kwa ujumla kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa vipindi tofauti tofauti.
Wamesema viongozi na Makocha waliobainika ...
11 years ago
Habarileo10 Aug
Mafundi gereji Tegeta wapelekwa Mabwepande
SERIKALI imewataka wananchi wanaojulikana kama Umoja wa Mafundi Gereji, waliopo eneo la Tegeta Wazo Hill jijini Dar es Salaam kuondoka eneo hilo kabla ya Agosti 17 mwaka huu na kuhamia eneo walilotaarifiwa, ili kutekeleza amri ya Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpzL1feT5GYkoFTWduOSADHO9YcJrmbrfyz2x0J0jSMtQD3WPzVinIKFa-5mob2gnsq7k*JYhtAydrbK8mFTJ3WG/MANDELA.jpg?width=650)
MWILI WA MANDELA WAPELEKWA KWENYE OFISI ZA SERIKALI