Wagombea wasijifiche kwenye ilani
SAFARI ya ujenzi wa demokrasia ya vyama vingi hapa nchini ilianza miaka 23 iliyopita na ingawa ha
Ali Mufuruki
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Dosari za ilani za vyama kwenye elimu
11 years ago
Michuzi07 Jul
MH. RIDHIWANI KIKWETE AANZA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA KWENYE JIMBO LAKE LA CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/19.jpg)
10 years ago
MichuziVYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWEKA VIPENGELE VYA WATOTO KWENYE ILANI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
VYAMA vya Siasa nchini katika kuelekea Uchaguzi Mkuu vimetakiwa katika ilani zao, kuweka vipengele vya watoto kutokana na kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi ya mtoto.
Hayo wameyasema watoto wakati wa mkutano uliondaliwa na Shirika la Save the Children kupitia Ajenda ya Mtoto inayoshirikisha mashirika 30 yanayojighulisha na masuala ya watoto kwa kuwakutanisha viongozi wa vyama vya siasa na watoto ,katika kujadili nafasi ya mtoto katika ilani zao kuelekea...
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200603-WA0011.jpg)
NHC ILIVYOIBEBA JUU KWA JUU ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWENYE SEKTA YA NYUMBA
![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200603-WA0011.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vMD6kV8lvdg/XuHDHoKb0AI/AAAAAAACM78/DhEGE66AshUO8Q_RVZlkQvir3hqoAnFqgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200602-WA0049.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) ni moja ya mashirika ambayo ni nguzo ya Serikali ya Awamu ya Tano katika uteketezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inayoliongoza taifa kuelekea kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Mwandishi maalum ambaye amekuwa akimulika mwenendo wa utendaji wa taasisi na mashirika ya umma, amefanya...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
CCM yazuia wagombea urais kwenye midahalo
9 years ago
Mwananchi13 Sep
DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (2)
9 years ago
Mwananchi06 Sep
DARUBINI YA MTATIRO : Wajibu wa wagombea na wananchi kwenye uchaguzi huu (1)
10 years ago
Dewji Blog16 Aug
Chama cha UPDP chasimamisha wagombea wanne kwenye uchaguzi ujao Singida
Mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, (kulia), akipokea mkoba wenye fomu za uteuzi wa kuwania .Urais kupitia chama chake hicho uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tayari chama hicho kimeweka wazi kuwa kinasimamisha wagombea wanne katika baadhi ya majimbo ya ndani ya Mkoa wa Singida katika kinyang’anyiro hicho. (Picha na Maktaba ya modewjiblog).
Na, Jumbe Ismailly
(SINGIDA)- Chama cha UNITED PEOPLES DEMOCRATIC...
11 years ago
Dewji Blog28 May
Wanachama wa Simba waandamana na kufunga njia za Msimbazi wakitaka Wambura arudishwe kwenye orodha ya wagombea
Mashabiki wa Timu ya simba wakijikusanya nje ya jengo la klabu hiyo kongwe kupinga Wambura kuondolewa kwenye uchaguzi unakuja hivi karibuni.
Hapa mashabiki wakizidi kujikusanya kwa wingi mchana huu.
Wanachama wa Simba wakiwa wamelizunguka Jengo la klabu yao mchana huu kupinga kuondolewa kwa wambura kwenye uchaguzi wa klabu hiyo.
Wanachama wa Simba wakipiga kelele nje ya jengo la klabu yao hiyo wakitaka wapewe ufafanuzi wa kina kwanini wambura ametolewa kwenye uchaguzi unaokuja.
Mmoja...