wagonjwa wa Kisukari na changamoto zao
wagonjwa wa saratani na kisukari nchini Tanzania, wataka bajeti ya kupamabana na maradhi hayo kuongezwa .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
9 years ago
StarTV14 Nov
Tanzania yatajwa kuwa na ongezeko la wagonjwa ya kisukari
Tanzania yatajwa kuwa nchi ya 8 kati ya nchi kumi Barani Afrika zinazoongoza kwa wagonjwa wa Kisukari, kwasababu ya ongezeko la wa watu wenye kisukari kadri siku zinavyokwenda katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Kutokana na tafiti za Kisukari za mwaka 2012, zinaonyesha kuwa hadi kufikia mwaka 2035 idadi ya wagonjwa wa kisukari inatarajiawa kufikia million 592 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutozingatia kanuni za afya.
Wakati Tanzania ikitarajia kuadhimisha siku ya Kisukari Duniani,...
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Wanawake na changamoto zao
SIKU ya Wanawake Duniani huadhimishwa Machi 8 kila mwaka. Siku hii wanawake huungana kusherehekea japokuwa wanatofautiana kwa umri, kabila, rangi, kazi, makazi, imani na mitazamo ya kijamii. Imekuwa ni siku...
9 years ago
Habarileo14 Aug
Wathamini madini watakiwa kutatua changamoto zao
KAIMU Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Ngosi Mwihava amewataka Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini, kuendelea kuwa wabunifu kutafuta majibu na suluhisho kwa changamoto zinazokabili tasnia ya vito nchini.
11 years ago
GPLWAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s72-c/1.jpg)
BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO-C-SEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuHYtUPVU4U/VWM7pm1YVMI/AAAAAAAC5CY/FbrbyyAvC40/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s72-c/PIX1.jpg)
Serikali kuendelea kushirikiana na Vijana katika kutatua changamoto zao
![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s640/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNgGcB2lGiw/VlcA8SG4SkI/AAAAAAADC3E/hJqydszKEmE/s640/PIX2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2UOk2V9gJZY/VW4NRg3ADHI/AAAAAAAHbgc/aUA3U8Wbxvg/s72-c/20150602125744.jpg)
MH.SITTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA TANGA,WAELEZA CHANGAMOTO ZAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2UOk2V9gJZY/VW4NRg3ADHI/AAAAAAAHbgc/aUA3U8Wbxvg/s640/20150602125744.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TASYiCtvGys/VW4NSm8fogI/AAAAAAAHbgo/CuNbmiwB0qc/s640/20150602125748.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X6XhSpjlxRk/VW4NSAned8I/AAAAAAAHbgg/rxowOLTEBmg/s640/20150602125746BN.jpg)
9 years ago
StarTV23 Nov
Walimu watakiwa kutumia fursa zao katika Utatuzi Changamoto Za Elimu
Walimu nchini wametakiwa watumie fursa walizonazo kutatua changamoto za elimu kwa kuwa taifa linawategemea kupata wataalam.
Katika mahafali ya chuo kikuu cha DUCE imeelezwa kuwa Serikali inajitahidi kusomesha walimu kwa kutumia kodi za wananchi lengo likiwa ni kuongeza fursa za ajira ya walimu kutokana na uhaba wa walimu hasa katika masomo ya Sayansi.
Mgeni rasmi katika mahafali hayo Prof. Martha Mlau amewtakaa wahitimu kutumia taaluma waliyoipata chuoni hapo, kwa kuwa taifa...