Wahamiaji 300 wafikishwa Italia
Zaidi ya watu 300 waliookolewa baada ya boti kupinduka karibu na ufuo wa Libya siku ya jumatano wamewasili nchini Italia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Wahamiaji wazidi kuokolewa Italia
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Italia yawaokoa maelfu ya wahamiaji
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Wahamiaji:Italia na Ufaransa zatofautiana
5 years ago
BBCSwahili22 May
Wahamiaji haramu watumia muziki kusahau shida zao Italia
10 years ago
StarTV01 Sep
Watu 10 wafikishwa mahakamani Morogoro
Jeshi la Polisi limewafikishwa mahakamani watu 10 wanaotuhumiwa kuvamia kituo cha Polisi Mbingu wilayani Kilombero mkoani Morogoro na kukichoma moto hali iliyosababisha uharibifu wa mali na nyaraka mbalimbali za jeshi hilo. Washtakiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro na kusomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali Sunday Hyere mbele ya hakimu mkazi Agripina Kimaze. Wakiwa Mahakamani watuhumiwa hawa wanasomewa Mashtaka yao na wakili wa Serikali Sunday Hyera, na...
10 years ago
Habarileo29 Nov
Watuhumiwa ujangili sugu 5 wafikishwa kizimbani
WATU watano wanaodaiwa kuwa ni majangili sugu ambao hufanya ujangili huo katika mikoa ya Arusha na Manyara, wamepandishwa kizimbani kujibu mashitaka ya kuhujumu uchumi.
10 years ago
StarTV17 Jan
Sakata la ESCROW, watatu wafikishwa mahakamani.
Na Josephine Mwaiswaga
Dar Es Salaam
Lile Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow limezidi kuwaburuza wengine zaidi Mahakamani ambapo sasa Tume ya kudhibiti na kupambana na Rushwa TAKUKURU imewapandisha Kizimbani Watu Watatu Wakikabiliwa na makosa ya sita ya kupokea rushwa kutoka kwa Mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya Independent Power Tanzania Ltd IPTL James Rugemalira.
Washtakiwa waliopandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ni pamoja na Julius Angello Mkurugenzi wa Fedha...
11 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Vigogo wengine wa Uamsho wafikishwa kortini
VIONGOZI wengine wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ally Mselem na Abdallah Said Alli Sheikh (Madawa), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...