Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji 300 wafikishwa Italia

Zaidi ya watu 300 waliookolewa baada ya boti kupinduka karibu na ufuo wa Libya siku ya jumatano wamewasili nchini Italia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wazidi kuokolewa Italia

Maelfu ya wahamiaji kutoka Afrika wameendelea kuokolewa katika pwani ya Italia wakilenga kuingia barani Ulaya

 

10 years ago

BBCSwahili

Italia yawaokoa maelfu ya wahamiaji

Kikosi cha ulinzi wa pwani ya Italia kimesema kimewaokoa zaidi ya wahamiaji elfu mbili kutoka Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Italia na Ufaransa zatofautiana

Italia imeikashifu Ufaransa kwa kuwafungia mlango kwa siku 4 kwa wahamiaji waliokuwa wakijaribu kuingia nchini humo

 

5 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji haramu watumia muziki kusahau shida zao Italia

Wahamiaji haramu watumia muziki kusahau shida zao Italia.

 

10 years ago

StarTV

Watu 10 wafikishwa mahakamani Morogoro

Jeshi la Polisi limewafikishwa mahakamani watu 10 wanaotuhumiwa kuvamia kituo cha Polisi Mbingu wilayani Kilombero mkoani Morogoro na kukichoma moto hali iliyosababisha uharibifu wa mali na nyaraka mbalimbali za jeshi hilo. Washtakiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro na kusomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali Sunday Hyere mbele ya hakimu mkazi Agripina Kimaze. Wakiwa Mahakamani watuhumiwa hawa wanasomewa Mashtaka yao na wakili wa Serikali Sunday Hyera, na...

 

10 years ago

Habarileo

Watuhumiwa ujangili sugu 5 wafikishwa kizimbani

WATU watano wanaodaiwa kuwa ni majangili sugu ambao hufanya ujangili huo katika mikoa ya Arusha na Manyara, wamepandishwa kizimbani kujibu mashitaka ya kuhujumu uchumi.

 

10 years ago

StarTV

Sakata la ESCROW, watatu wafikishwa mahakamani.

Na Josephine Mwaiswaga

Dar Es Salaam

 

Lile Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow limezidi kuwaburuza wengine zaidi Mahakamani ambapo sasa Tume ya kudhibiti na kupambana na Rushwa TAKUKURU imewapandisha Kizimbani Watu Watatu Wakikabiliwa na makosa ya sita ya kupokea rushwa kutoka kwa Mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya Independent Power Tanzania Ltd IPTL James Rugemalira.

 

Washtakiwa waliopandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ni pamoja na Julius Angello Mkurugenzi wa Fedha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo wengine wa Uamsho wafikishwa kortini

VIONGOZI wengine wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ally Mselem na Abdallah Said Alli Sheikh (Madawa), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani